nataka jua kwani walisema wataita baada ya mwezi mwenzio nipo shamba nipeni taarifa
mbona tumeishafanya?imefanyika tarehe 29-30 Oct 12!poleni,kama hamuamini bofya website ya Ajira
Mdau anaulizia kuitwa kazini na sio kuitwa kwa ajili ya intervie! Nafikiri fabinyo haukumuelewa mtoa maada!
Mdau anaulizia kuitwa kazini na sio kuitwa kwa ajili ya intervie! Nafikiri fabinyo haukumuelewa mtoa maada!