Usaili wa Kuandika Ajira za Walimu Daraja la III C Maswali Gani Yataulizwa?

Usaili wa Kuandika Ajira za Walimu Daraja la III C Maswali Gani Yataulizwa?

Abtali mwerevu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2013
Posts
665
Reaction score
515
Zimesalia siku mbili usaili wa walimu daraja la IIIC uanze. Hata hivyo, Daraja la IIIC ulishaanza kwa wale ambao masomo yao hayakuwa na usaili wa kuandika ila usaili wa mazungumzo pekee. Kwa wale wa usaili wa mazungumzo, mambo yanaanza tarehe 24/01/2025.

Walimu wengi hawafahamu katika usaili huu wataulizwa maswali gani? Je katika usaili wa Geography, au Kiswahili au History au English au Biology, katika mtihani wa kuandika, yataulizwa maswali yanayohusu somo husika ama yatalizwa maswali yanayohusu taaluma ya ufundishaji.

Binafsi naona yataulizwa maswali yanayohusu somo husika, halafu katika usaili wa mazungumzo, ndiyo yataulizwa maswali yanayohusu taaluma ya ufundishaji.

Una maoni gani? Jiunge katika group la Whatsapp kupata update na maoni mbalimbali kuhusu mitihani hii... Jiunge Hapa.
 
Wewe nenda kwa chumba cha mtihani utakutana nayo.
 
Teaching methodology curriculum usibase sana kwenye masomo ya kufundishia hawatoi huko utakuja kunishukulu mark thisi
Mkuu ushafanya usaili? Hivi hata wa kiswahili wataulizwa kuhusu curriculum
 
Zimesalia siku mbili usaili wa walimu daraja la IIIC uanze. Hata hivyo, Daraja la IIIC ulishaanza kwa wale ambao masomo yao hayakuwa na usaili wa kuandika ila usaili wa mazungumzo pekee. Kwa wale wa usaili wa mazungumzo, mambo yanaanza tarehe 24/01/2025.

Walimu wengi hawafahamu katika usaili huu wataulizwa maswali gani? Je katika usaili wa Geography, au Kiswahili au History au English au Biology, katika mtihani wa kuandika, yataulizwa maswali yanayohusu somo husika ama yatalizwa maswali yanayohusu taaluma ya ufundishaji.

Binafsi naona yataulizwa maswali yanayohusu somo husika, halafu katika usaili wa mazungumzo, ndiyo yataulizwa maswali yanayohusu taaluma ya ufundishaji.

Una maoni gani? Jiunge katika group la Whatsapp kupata update na maoni mbalimbali kuhusu mitihani hii... Jiunge Hapa.
Swali la mtihani CIVICS

ELEZEA SABABU TANO ZA PHILIP MPANGO KUSTAAFU AKIWA NA UMRI MDOGO HUKU STEVEN WASIRA AKIKABIDHIWA WADHIFA MKUBWA NA UMRI MKUBWA ZAIDI YA PHILIP MPANGO (MARKS 10)

ELEZEA KWA SABABU TANO, KIPI CHA MUHIMU KITAKACHOBADILIKA NDANI YA UOMGOZI WA CHADEMA KWA MIAKA MITANO IJAYO AMBCHO KITAKUWA NA MANUFAA KWA CCM PIA. (MARKS 10)

ELEZEA UMUHIMU KUZUIA KUWA NA WAGOMBEA WENGI KATIKA NAFASI YA MWENYEKITI WA CCM, IKILINGANISHWA NA UTARATIBU WANAOUTUMIA WANACHADEMA? (MARKS 5)

ELEZEA HASARA ZA KISIASA WALIZOZIPATA WANACCM BAADA YA FREEMAN MBOWE KUTOLEWA MADARAKANI. (MARKS 5)

ELEZEA UMUHIMU WA KIJANA ABDUL KATIKA UKUAJI WA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI NCHINI (MARKS 10)

ELEZEA NAMNA AMBAYO UNAWEZA KUYATUMIA MAARIFA YAKO YA UALIMU NJE YA KADA YA UALIMU (MARKS 10


MTIHANI HUO NDIWO MTIHANI


BAADAE NITALETA WA KISWAHILI NA HISTORY
 
Back
Top Bottom