Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
I had a nice laugh at this guy,
Jamaa wawili walienda kuomba kazi Tanzania Football Federation, ikabidi mmoja mmoja aingie ili apewe interview. Jamaa wa kwanza mambo yakawa hivi;
Katibu TFF; mashindano ya kombe la dunia kwa mara ya mwisho yalifanyika mwaka gani?
Jamaa; 2002.
Katibu TFF; yalifanyikia wapi?
Jamaa; Korea kusini na Japani.
Katibu TFF; mchezaji alievuma sana ni nani?
Jamaa; Ronaldo.
Katibu ikabidi aulize swali la kijanja ; je unaamini kama yesu ni mtoto wa mungu?
Jamaa; wapo wanaokubali na wasiokubali ila mimi nakubali.
judith francis: Jamaa akatoka kwenda kumwambia mwenzake nae aingie lakini jamaa alietoka ndani akamfundisha mwenzake majibu ya yote. Jamaa wa pili nae akaingia na mambo yakawa hivi;
Katibu; ulizaliwa mwaka gani?
Jamaa; 2002
Katibu; ulizaliwa wapi?
Jamaa; Korea kusini na japani.
Katibu; Baba yako anaitwa nani?
Jamaa; Ronaldo.
Katibu; We chizi nini?
Jamaa;wapo wanaokubali na wasiokubali ila mimi ninakubali.
Katibu: Heeeeeeeeeheeeeeeee
Jamaa wawili walienda kuomba kazi Tanzania Football Federation, ikabidi mmoja mmoja aingie ili apewe interview. Jamaa wa kwanza mambo yakawa hivi;
Katibu TFF; mashindano ya kombe la dunia kwa mara ya mwisho yalifanyika mwaka gani?
Jamaa; 2002.
Katibu TFF; yalifanyikia wapi?
Jamaa; Korea kusini na Japani.
Katibu TFF; mchezaji alievuma sana ni nani?
Jamaa; Ronaldo.
Katibu ikabidi aulize swali la kijanja ; je unaamini kama yesu ni mtoto wa mungu?
Jamaa; wapo wanaokubali na wasiokubali ila mimi nakubali.
judith francis: Jamaa akatoka kwenda kumwambia mwenzake nae aingie lakini jamaa alietoka ndani akamfundisha mwenzake majibu ya yote. Jamaa wa pili nae akaingia na mambo yakawa hivi;
Katibu; ulizaliwa mwaka gani?
Jamaa; 2002
Katibu; ulizaliwa wapi?
Jamaa; Korea kusini na japani.
Katibu; Baba yako anaitwa nani?
Jamaa; Ronaldo.
Katibu; We chizi nini?
Jamaa;wapo wanaokubali na wasiokubali ila mimi ninakubali.
Katibu: Heeeeeeeeeheeeeeeee