Ila nasikia pepa lilikuwa gumu.Sina mengi ila utumishi kwny hii interview ya compliance officer mmetuonea.. pepa imepigika jumamosi.. leo matokeo.. mchanganuo wa marks hueleweki.. watu 33 tu ndio wameitwa oral.. mnatufanya tujiulize uwezo wetu wa kufikiri kama ni mdogo kiasi hiko au vipi.
Kama mtu unaota toka mwanzo, unasomea Mambo ya meri watu wa chache, unakuta mmoja au wawili, kwingine huku watu kibao.Inakatisha moyo kaka.. unatumia cost halaf wanakuja na story za ajabu
Kukata tamaa dhambi, usikate tamaaMi nimeacha kabisa kuomba kazi, bongo magumashi mengi
Post unahtj watu wangp
Kaka dah imetukuta na sisi huku kwenye korowassa wameweka maarks za ajabu ajabu unatokakwenye pepa umelipiga kama lote wanaweka marks 40 eti hahahahaha na majibu sahihi hata ukireview kwenye notes sasa mpka unasema.naenda dodoma kufanya mitihani ya utumishi yanini sasa kama unafaulu na wanakuwekea marks ndogo ili ufeli wachakue idadi yao wanayotakaInakatisha moyo kaka.. unatumia cost halaf wanakuja na story za ajab
Dah ila inauma sana kakaUkienda kwenye usaili wa utumishi, inabidi ujiande kwa lolote unaweza ukakuta paper umelifanya vyema ila issue kwenye matokeo apo ndo huwa kuna maajabu mengi.
Kuna wakati unaweza sema hawajamaa huwa laba sijui wanafanyaga tu assumptions maana haielewek yaani
Yah, sana tu ndo maana kuna wakati mpaka mtu unahisi laba umerogwa au una nuksi utashaanga tu vimemarks vya ajabu yaaniDah ila inauma sana kaka
Yani acha kabisa.. juzi ndugai alichokua anakisema ndio wamekifanya.. nahis wcf walikua na watu zao.. the same thing naskia imetokea kwa hawa wanasheria wa serikali.. madogo waliotoka intake ya kwanza waliambiwa watachukuliwa na wengi wameenda.. sasa transparency iko wapi hapo.. wanashusha hata ile kujiamin mwisho unaanza kuhisi umelogwaYah, sana tu ndo maana kuna wakati mpaka mtu unahisi laba umerogwa au una nuksi utashaanga tu vimemarks vya ajabu yaani
Kabisa cha umuhimu tu ni kuto kukata tamaa tu, hyo ndo inatoshaYani acha kabisa.. juzi ndugai alichokua anakisema ndio wamekifanya.. nahis wcf walikua na watu zao.. the same thing naskia imetokea kwa hawa wanasheria wa serikali.. madogo waliotoka intake ya kwanza waliambiwa watachukuliwa na wengi wameenda.. sasa transparency iko wapi hapo.. wanashusha hata ile kujiamin mwisho unaanza kuhisi umelogwa