Huu ni utetezi wa KITOTO kabisa na si wa mtu msomi mwenye shahada!Sijaona shida ukizingatia ni social media sipo kwny harakati za kutunga kitabu au kuandika mashairi mkuu.. mwandiko wa nini!?
Mtu mwenye shahada anatakiwa awe wa mfano kwa karibu kila kitu kama enzi zetu.
Siku hizi msomi kabisa anaandika abari gani? Ujambo?
ii ni ujuma!
Aibu sana.