Jina lako lingekuwemo kwenye orodha ungelete uzi huu?Sina mengi ila Utumishi kwenye hii Interview ya Compliance Officer mmetuonea. Pepa imepigika Jumamosi, leo matokeo, mchanganuo wa marks hueleweki, watu 33 tu ndio wameitwa oral.
Mnatufanya tujiulize uwezo wetu wa kufikiri kama ni mdogo kiasi hiko au vipi!
View attachment 2631615
Acha uongo dogo pepa simple afu mtu wa kwanza ana 66?🤣🤣we hujapita manake marks zako hazikutosha endelea kupambana🙏Ilikua simple to the fullest mkuu
Dogo kafel,🤣🤣eti pepa ilikuwa simple,wakati marks zinaonyesha ufaulu sio wa kihivyo,nilitegemea kuona 100,90,80,70 kama kweli pepa ilikuwa simple🙏Jina lako lingekuwemo kwenye orodha ungelete uzi huu?
Umeona umefeli unalaumu.
Kenge wewe
Hongera,jipange dogo utapasua inshallah 🙏Mungu mkubwa, acha nijiandae na oral sasa.
Yale yale, paper jepesi.Ilikua simple to the fullest mkuu
Heri hizi ambazo hazipiti utumishiMi nimeacha kabisa kuomba kazi, bongo magumashi mengi
Aamin Rabbi Al amin!Hongera,jipange dogo utapasua inshallah í ½í¹
Hawa jamaa ni wana bwebwe sana utazani hizo ajira wao ndo wamezishikiria kama vile baraza la mtihani na pepa zao za necta
Kwani oral si leo 23/5?Mungu mkubwa, acha nijiandae na oral sasa.
Simple halafu umefeli,?kubali matokeo tu chiefIlikua simple to the fullest mkuu
Ahh, tena hyo ndo mbaya bro bora hivhiv tu, ziwe zinatoka utumishi possibility ya kupata ikoBora ajira zisimamiwe na taasisi husika tu.
Maswali yaliyotoka plizzz
Angeleta mwengine ambae hajapita.. umeona nmefeli peke yangu hapo!? Kwahyo almost 2000 individuals wenye uwezo wa kupambanua na kujibu maswali walikua 34 tu!? Akili ndogo sana mkuuJina lako lingekuwemo kwenye orodha ungelete uzi huu?
Umeona umefeli unalaumu.
Kenge wewe
Akili ndogo sana mkuu.. kwahyo kwasababu wa kwanza kabambikiwa 66 ndio ugumu wa pepa unaonekana hapo!? Pepa ilkua simple.. huwez ulizwa maana ya wcf.. ushnwe.. objectives.. elements.. na kila swali lilikua na 25 marks kwahyo ukose maswali matatu 70 kwny maswali yalioulizwa kama hayoAcha uongo dogo pepa simple afu mtu wa kwanza ana 66?🤣🤣we hujapita manake marks zako hazikutosha endelea kupambana🙏
Nmegundua naweza kuwa nabishana na wale usije kwny interview barua yako ipo.. au wale mliokua mnajitolea mkapewa pande so mnaogopa interview itafutwa kama ile ya TRA!?Dogo kafel,🤣🤣eti pepa ilikuwa simple,wakati marks zinaonyesha ufaulu sio wa kihivyo,nilitegemea kuona 100,90,80,70 kama kweli pepa ilikuwa simple🙏
Sijawah pishana na uwezo wangu wa kufikiri.. bachelor yangu ya miaka minne sijawah supp nije kushndwa pepa ya maswali manne yanayouliza maana, objective, elements za taasisi husika!? Tanua fikira mkuuYale yale, paper jepesi.
Tokeo linarudi na sup.
Yes yanakua kama NSSF.. hamna matangazo ya ajira lakn watu wanaajiliwa.. na wote ni wavaa ushungiAhh, tena hyo ndo mbaya bro bora hivhiv tu, ziwe zinatoka utumishi possibility ya kupata iko
Maana huwa naona watu wanapata bila hata connection
Ila ikiwa ndo taasisi aisee ukilitimba utakuwa mwingi sana bro