Mashindano ya World Championship yanayoendelea nchi China yamedhihirisha kwa mara nyingine tena kwamba Mjamaika Usain Bolt bado hana mpinzani baada ya kushinda mbio za mita 200 wanaume
Ikumbukwe kwamba katika mashindano ya awali kutafuta kufuzu mita 100 Gatlin aliongiza katika mbio zote kwa muda bora zaidi ya Usain Bolt lakini Usain bolt akashinda kwenye fainali.
Wachambuzi wengi wa mchezo huu walikua wanampa nafasi kubwa sana Gatlin kushinda mbio za mita 100 na mita200 kutokana na kwamba Usain bolt alikua nje ya mashindano kwa muda kutokana na majeruhi na hakuonyesha ubora wa juu katika kufuzu
Justin Gatlin ambaye alipatwa kusimamishwa mara mbili mashidano kutokana na matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu ndiye alikua anapewa nafasi kubwa kushinda
Lakini sasa ameisha shindwa mita 100 na leo hii ameshindwa tena m200 na bolt
Ikumbukwe kwamba katika mashindano ya awali kutafuta kufuzu mita 100 Gatlin aliongiza katika mbio zote kwa muda bora zaidi ya Usain Bolt lakini Usain bolt akashinda kwenye fainali.
Wachambuzi wengi wa mchezo huu walikua wanampa nafasi kubwa sana Gatlin kushinda mbio za mita 100 na mita200 kutokana na kwamba Usain bolt alikua nje ya mashindano kwa muda kutokana na majeruhi na hakuonyesha ubora wa juu katika kufuzu
Justin Gatlin ambaye alipatwa kusimamishwa mara mbili mashidano kutokana na matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu ndiye alikua anapewa nafasi kubwa kushinda
Lakini sasa ameisha shindwa mita 100 na leo hii ameshindwa tena m200 na bolt
