Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Lakini tutamkumbuka kama the best sprinter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowassa,Mbowe,Mbatia....Kwahiyo macho yake ndo yanakimbia??
Siku zote katika maisha kuna mwanzo na mwisho....
Kama Tyson alipigwa mpk akang'ata mtu sikio... Bolt lazima akubali kuna miguu mipya inazaliwa....
Hivyohivyo kwa Messi, Ronaldo, Neymar, Magufuli, Kagame, Mugabe, Museveni, Nkurunzinza, Makonda et el
Hata Tundu Lisu, ingawa unakwepa kumtaja.Kwahiyo macho yake ndo yanakimbia??
Siku zote katika maisha kuna mwanzo na mwisho....
Kama Tyson alipigwa mpk akang'ata mtu sikio... Bolt lazima akubali kuna miguu mipya inazaliwa....
Hivyohivyo kwa Messi, Ronaldo, Neymar, Magufuli, Kagame, Mugabe, Museveni, Nkurunzinza, Makonda et el
Nimefurahi kwa kweli amenipa tumaini baada ya miaka kadhaa hatapewa kesi ya ku dope.Lakini tutamkumbuka kama the best sprinter![]()
Lakini tutamkumbuka kama the best sprinter![]()
Jamaa namkubali lakini ameacha historia dunianiNimefurahi kwa kweli amenipa tumaini baada ya miaka kadhaa hatapewa kesi ya ku dope.
9.54 secKwa Hiyo alidhani kila siku ni jumapili na hakuna atakayefikia records zake?
Naona media zote zinamuonesha yeye kuliko mshindii this world isn't fair
Picha ni picha tu kwani sio bolt huyoHii picha umeiokota wapi wewe...mbona hakuwa kavaa hivyo?
Asafa Powell aliikaribia karibia lakini mmh hatuwezi kujua labda atakuja tokea wa kuivunja9.54 sec
Nani atayekuja kuivunja hii???
Taaluma ya habari inakinzana na unachokiamini...Picha ni picha tu kwani sio bolt huyo
That was way back, Asafa aliweka rekodi kabla 9.77 sec (2005) then akaivunja yeye mwenyewe 9.74 sec (2007)...Asafa Powell aliikaribia karibia lakini mmh hatuwezi kujua labda atakuja tokea wa kuivunja