Swadakta maneno yako nguvu kitu cha kwisha walikuwapo kina Carl lewis kina Ben johnson kina joe frazier achilia mbali mohamed ali (the great )wote wamepita akubali kila zama na kitabu chake umetoa mfano murua kabisa.Kwahiyo macho yake ndo yanakimbia??
Siku zote katika maisha kuna mwanzo na mwisho....
Kama Tyson alipigwa mpk akang'ata mtu sikio... Bolt lazima akubali kuna miguu mipya inazaliwa....
Hivyohivyo kwa Messi, Ronaldo, Neymar, Magufuli, Kagame, Mugabe, Museveni, Nkurunzinza, Makonda et el
Umechanganya wanasiasa na wanamichezoKwahiyo macho yake ndo yanakimbia??
Siku zote katika maisha kuna mwanzo na mwisho....
Kama Tyson alipigwa mpk akang'ata mtu sikio... Bolt lazima akubali kuna miguu mipya inazaliwa....
Hivyohivyo kwa Messi, Ronaldo, Neymar, Magufuli, Kagame, Mugabe, Museveni, Nkurunzinza, Makonda et el
HahahaaaaKwahiyo macho yake ndo yanakimbia??
Siku zote katika maisha kuna mwanzo na mwisho....
Kama Tyson alipigwa mpk akang'ata mtu sikio... Bolt lazima akubali kuna miguu mipya inazaliwa....
Hivyohivyo kwa Messi, Ronaldo, Neymar, Magufuli, Kagame, Mugabe, Museveni, Nkurunzinza, Makonda et el
That fair hivi last time G 20 summitNaona media zote zinamuonesha yeye kuliko mshindii this world isn't fair
Hands down to him.It is fair, he has been best sprinter ever without drugs ever. He is the best and his record will stand test of time.
Greatness is determined by your
1) ongevity.
2) How many years your were number one.
3) How many medals you won,
4) How you compete fair on unfair (Example Justin Gatlin compete while he is full of drugs)
5) Lose with magnanimity and decency.
He has done that he is the greatest athletic ever.
Sijui kwanini but nilipata hizi hisia,nikajisemea ni Mara yake ya mwisho lakini hatoshinda. Duh!!!
Unauliza nini?Lipi la kuniwewesesha kwa mfano?
Umenikosha ulivyoandika jina la mwenzio ( Meiwedha) ujumbe umeeleweka vema[emoji1]
Ndio kaaga kabisa nafikiri atajikita na filamu zaidiKwa iyo kastaafu kabisa athletics, ...??
Hela kitu kibaya sanaUsain Bolt really is very stupid. He was supposed to know that time is not with him. It will happen to Mayweather when he comes back to the ring
Sent using Jamii Forums mobile app