Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Atalazimika kupigania namba yake!! Lazima m
amshawishi kocha kwenye mazoezi. na siku akianzishwa aoneshe kuwa anastahili kuanza!! Kama amerudi akifikiri nafasi ilikuwa inamsubiri anaweza kuchanganyikiwa !!
Endelea kupoteza Mb zako kupiga makofi upepo! Mkude alitimuliwa Stars kwa majungu yenu kama hayo, mkafikiri ataporomoka kiwango lakini mziki wake mpaka leo unawahenyesha!Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
mchezaji aliyeisha hawezi kuwa man of the match huko alikotoka.Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Lakini pia simba inahitaji striker,Nategemea Simba itarudi kwenye ubora wake, pengo la chama halikuwahi kuzibwa, mwenye nafasi yake kaja
Hongera wanamsimbazi kumrudisha Kijana home kwao
Benchi limemkimbiza huko Morroco, tuna safari ndefu sana, mchezaji aliyekosa namba Morroco huku Tanzania ndio tegemeo. Maajabu kwakweli.Nategemea Simba itarudi kwenye ubora wake, pengo la chama halikuwahi kuzibwa, mwenye nafasi yake kaja
Hongera wanamsimbazi kumrudisha Kijana home kwao
Kama Ni aibu kumrudisha mchezaji Basi hili Walitangulia watani Zetu Yanga kwa kumrudisha Makambo ,sijui una kubaliana na Mimi mpaka hapo.Babu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Alimaliza form four na sasa amerudi std 7...!This is Simba [emoji91]
Nguvu moja , karibu tena mwamba wa Lusaka
Uzuri huyu kwenye dearby huwa afurukuti
Tena akiwa kachoka kweli kweliKama Ni aibu kumrudisha mchezaji Basi hili Walitangulia watani Zetu Yanga kwa kumrudisha Makambo ,sijui una kubaliana na Mimi mpaka hapo.
Chama ni yule yule siku zote .Alimaliza form four na sasa amerudi std 7...!