Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Atalazimika kupigania namba yake!! Lazima m
amshawishi kocha kwenye mazoezi. na siku akianzishwa aoneshe kuwa anastahili kuanza!! Kama amerudi akifikiri nafasi ilikuwa inamsubiri anaweza kuchanganyikiwa !!
Na ubaya zaidi jezi yake aliyoivaa anatisha kama upepo…. P.O Sakho, sijui atakibidhiwa uzi namba ngapi ila nahisi atakula 10