Usajili:Habari za kusadikika

Usajili:Habari za kusadikika

ndemesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
380
Reaction score
121
Inasadikika kua Yanga bado hawajafanikiwa kumsainisha mshambuliaji wa Simba Ibrahimu Ajibu Migomba kwa kile kinachodaiwa kua wameshindwa kumlipa pesa yote japo walikwisha kukubaliana kila kitu.Ajibu amegoma kusaini kwa mkopo hivyo bado viongozi wa Yanga wanahaha kuweka mambo sawa.Tukiachana na hilo inasemekana pia yule kiungo wa Mbao fc Pius buswita ameziacha timu za simba na yanga zikiwa njia panda baada ya kusaini mikataba yote miwili yaani mmoja wa simba na mwingine wa Yanga.Tusubiri muda ndio utatupa majibu mazuri.
 
Kakojoe ulale...
Go Manji Go,ulipo tupo!
Unaelewa maana ya kusadikika lakini au unadandia tu vitu ndugu yangu.Ukiachana na kusadikika huku kumbuka kua Ajibu bado hajamaliza mkataba wake na Simba so hawezi kusaini kabla ya tarehe yake ya mkataba na Simba kufika.Kwa sasa ni mazungumzo tu kama ilivyo kwa Simba kwa Niyonzima japo inasadikika pia kua tayari Niyonzima kaongeza mkataba na Yanga.
 
Ajib kapewa brevis na m 50 cash,hizo habari zako za kusadikika wapelekee futari fc wenzio
 
Ajib kapewa brevis na m 50 cash,hizo habari zako za kusadikika wapelekee futari fc wenzio
Wafanye basi kama walivyofanya kwa shaibu na buswita mambo hadharan kama kweli una imani hiyo
 
Back
Top Bottom