Usajili huu unaofanywa na Simba ni mapendekezo ya kocha gani? Ni uhuni na kukosa weledi, wamechanganyikiwa

Mtoa mada ni empty set kabisa. Duniani kote makocha asilimia 90 huwa wanakuta timu ipo na vikosi tayari. Ndio mana kuna room ya dirisha dogo la usajiri na lengo kubwa la dirisha hili ni kumpa kocha nafasi ya kuboresha kikosi chake, Wewe wa wapi wewe au mpira umeanza kutazama wakati mancity ni bingwa wa england?
 
Kocha hatafutwi kama pera wewe boya.

Mwalimu mzuri atafundisha darasa lolote sambamba na weledi wake. Mwalimu huwa na mbinu za kumfundisha mwanafunzi ili aelewe.
Hilo sio kama darasa la awali we kilaza.

Huyo ni strainer wa vipaji sio kutoa ujinga kama huo ulionao kichwani mwako.
Vipi mkisajili mchezaji asiefit kwenye mfumo wake? Ama lah mkasajili kiumbe kisicho na kipaji bali bahatu tu( waswahili tunaita ndondokela).

Na hao wachezaji wapo sana, unahisi ana kipaji kumbe ni kipaji kwa mwchi chache tu mlizoziona.
Kaa kwa kutulia dogo lofa.
 
Sio lazima kocha mpya ndio afanye usajili

Tunaona huko kwenye ligi mbali mbali kocha akitimuliwa katikati ya msimu anakuja mpya anaendelea na wachezaji wale wale.

Msimu ukiisha anaweza endelea nao au akaongeza wachache.
 
Hakuna watu wanahangaika na Simba kama Yanga yani wana timu yao lakini mambo ya simba yanawawasha..sasa peleka malalamiko CAF
 
Team zetu za bongo sio simba tuu, wanaosajili ni viongozi na soo kocha kocha akija anashindwa kutengeneza chemistry ya team kwakuwa waliosajiliwa sio hitaji lake mwishowe anafukuzwaaaaa
 
Cheki huyu
Unaleta ushabiki wa vijiweni huko kwenu.
Mafanikio ni kuchukua makombe basi huko CAf simba ana kombe gani au lile la ranks?
Simba tumeitoa maana huwa inasajili bila mapendekezo ya kocha tuje upande wenu mliokuwa mkisajili kwa mapendekezo maalumu ya kocha kama vile Mwinyi Zahera na Lucy Eymael je mmewahi fika wapi huko champions league?
 
Umesahau kuwa Victor amesema kila mchezaji anatamani kuchezea Simba
 
Pelekeni malalamiko CAS muambie kwamba simba wanasajili bila kocha ili wafungiwe kusajili kuliko kutupanulia madomo kunuka yenu kwenye mitandao .
 
Ukweli mchungu ambao watauelewa wachache
Ukweli mchungu sana huu
 
Msimu ujao utaishangilia Yanga kimataifa upende usipende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…