netein
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 281
- 480
wapi nmesema mbovu! nmesema style yake ya mchezaji ni kama Boko na Kagere tu, alafu ana miaka 30, ni injury prone, na viwanja vyetu sijui kama atatusaidia.Ko striker mbovu anaweza mfungaji bora? Goli 21
Msimu wa pili Kufikisha goli 14.
Na msimu watatu akiwa majeruhi akifikisha goli Tisa.
Je huyu ni striker mbaya?