Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Nimesikia kuwa National ya Misri imeshamchukua Chinga Boy kwenda kucheza kwa mabingwa hao wa Afrika. Simba wasipoteze muda watoe Bilioni 1 wamchukue kiungo wa Yanga Feisal.
Huyu ni mchezaji wa kiwango cha jùu sana na Simba wakimchukua huyu lazima watamuuza sio chini ya Bilioni 3 mwakani. Piga picha Simba wana Feitoti, Chama na Bwalya sijui na huyo Peter Banda. Hii timu itakuwa hatari sana.
SIMBA MCHUKUENI FEITOTO.
Huyu ni mchezaji wa kiwango cha jùu sana na Simba wakimchukua huyu lazima watamuuza sio chini ya Bilioni 3 mwakani. Piga picha Simba wana Feitoti, Chama na Bwalya sijui na huyo Peter Banda. Hii timu itakuwa hatari sana.
SIMBA MCHUKUENI FEITOTO.