Usajili Tanzania: Yanga SC yamuomba Mshambuaji Adam Salamba wa Lipuli FC

Hivi wana tatizo na Straika kwa sasa. Naona wangejikita na kulipa mishahara kwa walikuwa nao..
[emoji196] [emoji196]
Ngoma,tambwe,chirwa,emanuel Martin,...sio wachezaji wabaya,si wamalizane halafu waingie uwanjani,au wanataka kuwatema mazima
 
Huyo foward atalipwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…