Tatizo LA Simba na Yanga pakitokea mchezaji akiifunga moja ya timu basis huyo ni wakumsajili wapi alipo Atanasi, Busungu au Nonga?
Yanga wapate forward waakili toka nje ya nchi ambaye anauwezo mkubwa kama Tshishimbi waachane na Tabwe Ngoma hata Kamusoko