Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kitendo cha Ramadhani Singano kusajiliwa TP Mazembe baada ya kutemwa na Azam Fc, wengi wameshtushwa na usajili huo. Kuna wanaoamini kuwa TP Mazembe imefulia. Haina tena nguvu ya pesa kama miaka ile.
Sasa leo tukumbushane baadhi ya sajili zilizoishtua na kuishangaza Dunia ya soka. Yaani ni zile sajili ambazo hazikuwahi kufikiriwa kama zinaweza kutokea.
Tuanze sasa...
Sasa leo tukumbushane baadhi ya sajili zilizoishtua na kuishangaza Dunia ya soka. Yaani ni zile sajili ambazo hazikuwahi kufikiriwa kama zinaweza kutokea.
Tuanze sasa...