Usajili Upi Uliwahi Kukushangaza?

Usajili Upi Uliwahi Kukushangaza?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kitendo cha Ramadhani Singano kusajiliwa TP Mazembe baada ya kutemwa na Azam Fc, wengi wameshtushwa na usajili huo. Kuna wanaoamini kuwa TP Mazembe imefulia. Haina tena nguvu ya pesa kama miaka ile.

Sasa leo tukumbushane baadhi ya sajili zilizoishtua na kuishangaza Dunia ya soka. Yaani ni zile sajili ambazo hazikuwahi kufikiriwa kama zinaweza kutokea.

Tuanze sasa...
 
Back
Top Bottom