Usajili wa Chama unaathiri sana ya kiwango cha Azizi Ki na Pacome

Usajili wa Chama unaathiri sana ya kiwango cha Azizi Ki na Pacome

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Usajili wa Chama sikuufurahia.

Wachezaji Aziz ki na Pacome, wanacheza Kwa pressure na hofu maana wanaogopa jina la Chama.

Walianza wanacheza Kwa bidii ya kupitilia na ku panic kuishia kufanya maamzi ya ovyo na kubutua ovyo.
Maana wanataka kumwaminisha Coach kuwa wao ni Bora kuliko Chama aliyeingia.

Ni sawa na Madrid Toka asajiliwe Mbape Rodrigo, Belingum na vini hawafanyi vizuri, maana wana pressure. Ya kumwaminisha Coach.

Nadhani Coach Gamond akae nao aongee nao awaweke sawa kisaikolojia tu.

Au amtoe Chama dirisha dogo.

Ili AziZ na Pacome watoe the best walicho nacho ila akibaki Yanga itacheza ovyo.
 
Tazama performance ya hawa vijana kama hawana amani na utulivu
Wanaona ufalme wao unachukuliwa
Wachambuzi mna nongwa na Max je?? Maana nae kiwango chake siku za karibuni sio kizuri nae Chama anampa presha??
Aucho nae anapoteza sana pasi ni Chama huyo sio??

Ila sio mbaya, hii mada na mimi nitaipeleka kijiweni ili nipate cha kuzungumza tusogeze siku.
 
Wachambuzi mna nongwa na Max je?? Maana nae kiwango chake siku za karibuni sio kizuri nae Chama anampa presha??
Aucho nae anapoteza sana pasi ni Chama huyo sio??

Ila sio mbaya, hii mada na mimi nitaipeleka kijiweni ili nipate cha kuzungumza tusogeze siku.
Nimekuja mfano pale Madrid wachezaji wengi wanacheza ovyo
Madrid anapata sare sana sababu akina vini, Rodrigo, Bellingham wanatishka na Mbape
 

Attachments

  • downloadfile-2.jpg
    downloadfile-2.jpg
    132.6 KB · Views: 6
Kivuli cha Chama Kimeanza Kuwatesa...!

Ndo mjue Sasa mlivyokuwa mnamfananisha Chama na Aziz Ki kipindi Chama yupo Simba mlikuwa mnapuyanga Sana...! Chama yupo kwenye Level ya Peke yake.!
 

Attachments

  • downloadfile-2.jpg
    downloadfile-2.jpg
    132.6 KB · Views: 4
Usajili wa Chama sikuufurahia

Wachezaji Aziz ki na Pacome, wanacheza Kwa pressure na hofu maana wanaogopa jina la Chama

Walianza wanacheza Kwa bidii ya kupitilia na ku panic kuishia kufanya maamzi ya ovyo na kubutua ovyo.
Maana wanataka kumwaminisha Coach kuwa wao ni Bora kuliko Chama aliyeingia

Ni sawa na Madrid Toka asajiliwe Mbape Rodrigo, Belingum na vini hawafanyi vizuri, maana wana pressure. Ya kumwaminisha Coach

Nadhani Coach Gamond akae nao aongee nao awaweke sawa kisaikolojia tu

Au amtoe Chama dirisha dogo.

Ili AziZ na Pacome watoe the best walicho nacho ila akibaki Yanga itacheza o
 
Back
Top Bottom