The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Chama ametoka kutoa assist 4 na goli moja, wakafunga wanapanic vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani watavutana mpk watoane ngozi...
Eti anasema Chama aachwe dirisha dogo? Ana masikhara sana huyu jamaa
Izingatiwe.Usajili wa Chama sikuufurahia.
Wachezaji Aziz ki na Pacome, wanacheza Kwa pressure na hofu maana wanaogopa jina la Chama.
Walianza wanacheza Kwa bidii ya kupitilia na ku panic kuishia kufanya maamzi ya ovyo na kubutua ovyo.
Maana wanataka kumwaminisha Coach kuwa wao ni Bora kuliko Chama aliyeingia.
Ni sawa na Madrid Toka asajiliwe Mbape Rodrigo, Belingum na vini hawafanyi vizuri, maana wana pressure. Ya kumwaminisha Coach.
Nadhani Coach Gamond akae nao aongee nao awaweke sawa kisaikolojia tu.
Au amtoe Chama dirisha dogo.
Ili AziZ na Pacome watoe the best walicho nacho ila akibaki Yanga itacheza ovyo.
Wanakaniwa hasa hivi vitimu chipukiziAziz ki na Pacome
Sio ukweli hata wewe kuna siku kazini kunakua kubaya sio kila siku jumapili, kule kuna timu inafungwa Mane yupo ndani Ronarldo yupo ndani na wachezaji wengine mastaa na Ronarldo anausaka mpira kwa tochi, mpira unadundaAzizi k ni tapeli tu kama walivyowachezaj wa wezt africa wakushapata mikataba mipya
Naheshimu mawazo yako mkuuSio ukweli hata wewe kuna siku kazini kunakua kubaya sio kila siku jumapili, kule kuna timu inafungwa Mane yupo ndani Ronarldo yupo ndani na wachezaji wengine mastaa na Ronarldo anausaka mpira kwa tochi, mpira unadunda
Kwamba arsenal ana mafanikio gani ya kumzidi Madrid?,Azizi Jana kabutua butuaa mpaka nikaanza mlaumu Sanaa Mobetooo. Jamaa ule uhatarii wake unapuungua mnoo au wanaroganaaaa.
"Mpira unaochezwa" sijasema mafanikio mkuu. Sija gusa Historia mbona unamixed argument.Kwamba arsenal ana mafanikio gani ya kumzidi Madrid?,