Usajili wa Chama unaathiri sana ya kiwango cha Azizi Ki na Pacome

Kwani Chama jukumu lake ni nini?.kwani hao kina Azizk na pacome kazi yao ni kufunga? Unavyosema wanabutua tuu...
 
Izingatiwe.
 
Pacome amekuwa kama kisinda anakimbia tuuu mwisho aupo!! Azizi k ni tapeli tu kama walivyowachezaj wa wezt africa wakushapata mikataba mipya
 
Azizi k ni tapeli tu kama walivyowachezaj wa wezt africa wakushapata mikataba mipya
Sio ukweli hata wewe kuna siku kazini kunakua kubaya sio kila siku jumapili, kule kuna timu inafungwa Mane yupo ndani Ronarldo yupo ndani na wachezaji wengine mastaa na Ronarldo anausaka mpira kwa tochi, mpira unadunda
 
Sio ukweli hata wewe kuna siku kazini kunakua kubaya sio kila siku jumapili, kule kuna timu inafungwa Mane yupo ndani Ronarldo yupo ndani na wachezaji wengine mastaa na Ronarldo anausaka mpira kwa tochi, mpira unadunda
Naheshimu mawazo yako mkuu
 
Yanga ni kama Madrid tu kajaza mastaa kipaooo ila mpira unaochezwa kawaidaa sana wanazidiwa na Arsenal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…