Ndugu wenzangu, naomba kujuzwa jinsi ya kufahamu kama chuo kimesajiliwa na NACTE au hamna. Kuna chuo kinataka kutoa diploma ya elimu kinaitwa King Rumanyika kiko Bukoba. Naomba kujua kama kina usajili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.