EbwanaeeUtapeli hautaisha milele.
Unaweza ukasajili line kwa wakala akakuambia imegoma. Utambishia?
Lakini kumbe ilikubali then hiyo line akaenda kupewa mtu mwingine.
Nmezungumza sababu nmeshakiona hicho kitu mara kadhaa.
Hiyo msg haijatoka nida.That is my point 👍
Na kwa watu wa Nida watueleze possibilities za hili kutokea au watutoe hofu in their own way.
Ebwanaee
Kwa hiyo akisema chochote kinachoonyesha utata niite polis maana hakuna namna nyingine
Umemaanisha nini ?Ungesajili na tigo kwa hiyo unakuwa na uhuru wa kutumia line unayopenda
Nikuulize wewe umeelewaje?Umemaanisha nini ?
Ujinga mtupu, wanaiba na kidole chako kwenda kusajilia? Bogus kabisa waliosambaza huo upuuzi.Wadau habari za wakati huu.
Naenda kwenye mada moja kwa moja. Leo nimepokea jumbe zenye maana na angalizo jumuishi kama hiyo attachment inavyojieleza.
Sasa swali ninalojiuliza ni kwamba iwapo mimi nimeshajisajili kwa kuchukuliwa alama za vidole kwa nini mtu mwingine ajisajili kwa kutumia namba yangu ya Nida system ishindwe kumreject na hapohapo hatua za awali za kisheria zichukue mkondo wake?
Nawasilisha, ila kama kweli namba moja ya NIDA inaweza kusajili watu wawili basi system hiyo ifanyiwe overhaul.
Karibuni
Anything is possible in Africa, except Development and SelfishnessAll New Bio-metric Registration requires FINGER print which tally with NIDA ID number. Thus, its not possible for anyone to use your NIDA ID copy or number to register a new SimCard. Government and MNOs forecasted on this risk sometimes back before Kick off of this project.
Nimeelewa Tigo ya jichoNikuulize wewe umeelewaje?
Mkuu acha kuwaza mabaya mbona nimesema line mbiliNimeelewa Tigo ya jicho
Sawa mkuu. Tunapishana uelewa wa mambo ila tupo pamoja kwenye kulipa kodi bila shurutiMkuu acha kuwaza mabaya mbona nimesema line mbili
Ndiyo maana tunajenga SGRSawa mkuu. Tunapishana uelewa wa mambo ila tupo pamoja kwenye kulipa kodi bila shuruti
Mimi huwa nashangaa jitihada kubwa with a huge use of resources lakini wana-fail kwenye a very minor technicality. mfano ni nini kinachosababisha kushindwa ku-integrate hizi system zote. wakati mwingine huwa nahisi ni hujuma zinazosababishwa na baadhi ya watalaam.Wadau habari za wakati huu.
Naenda kwenye mada moja kwa moja. Leo nimepokea jumbe zenye maana na angalizo jumuishi kama hiyo attachment inavyojieleza.
Sasa swali ninalojiuliza ni kwamba iwapo mimi nimeshajisajili kwa kuchukuliwa alama za vidole kwa nini mtu mwingine ajisajili kwa kutumia namba yangu ya Nida system ishindwe kumreject na hapohapo hatua za awali za kisheria zichukue mkondo wake?
Nawasilisha, ila kama kweli namba moja ya NIDA inaweza kusajili watu wawili basi system hiyo ifanyiwe overhaul.
Karibuni
OK basi ni kitu gani kitasababisha "conflict" kwenye benki ya takwimu za lain kati ya NIDA, Biometrics etc.Jumbe nyingine hazina ukweli zaidi kuleta taharuki kwa jamii,,,,,hakuna usajili wa laini kwa finger print kwa sasa unaotumia copy,,,,, ni kitambulisho tu.
Na viwanda kutengeneza sharubati majumbaniNdiyo maana tunajenga SGR
Hii kwangu ilitokea nilisajili ikagoma..hadi natoka sikufanikiwa kusajili..hapa sijui **** walakiniUtapeli hautaisha milele.
Unaweza ukasajili line kwa wakala akakuambia imegoma. Utambishia?
Lakini kumbe ilikubali then hiyo line akaenda kupewa mtu mwingine.
Nmezungumza sababu nmeshakiona hicho kitu mara kadhaa.
ninachojua labda anayesajili anaweza kutumia alama zako za vidole hasa kwa wale wanaotumia smart phone au kompyuta kwani wanaweza kujifanya wanaedit taarifa. kuna uwezekano ukimaliza kusajili anaweza kujifanya anaedit kumbe anakopi alama zako za vidole na au anaingia kwenye taarifa zako zote na kuedit namba kuweka namba mpya kisha kuirudisha akisha maliza kufoji. mtoa mada anawazo jema ila cha muhimu ni kusajili ktk ofisi inayojulikana namba zote ili ikitokea jambo lolote unapata pa kuanzia. tuepuke vishoka wanaozunguka mitaani maana wanaweza kufanya lolote kwa sababu ya njaa
Huu ujumbe unasambazwa na malayman.
Nasema hivi kwasababu ili kusajili namba ya kitambulisho pekee haitoshi kusajili bila kuweka alama ya kidole chako.