Mchambuzi.
Kabla ya kuwaita hao ‘malayman’ hebu fafanua kidogo hapo, kwani nikishapewa copy ya namba (kama ni copy anyway) nitakuwa pia sina vidole vya kubofya..?
Vinginevyo utuambie kama system inao uwezo wa kutambua kuwa ‘namba’ hii imetumika kusajili Kidole X, mleta mada anaweza kuwa na kitu cha kutafakari... ila ujumbe aliotumia kama ushahidi umeandikwa hovyo hovyo mno binafsi siwezi kuamini mwandiko wa hivyo.