Mzee salum
Member
- Dec 21, 2019
- 6
- 0
Habari ndungu zangu,
Naomba mnisaidie nina laini zangu za uwakala lakini sio kwa jina langu, je inawezekana nikapiga fingerprint na kuepuka kufungiwa?
Naombeni msaada wenu jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mnisaidie nina laini zangu za uwakala lakini sio kwa jina langu, je inawezekana nikapiga fingerprint na kuepuka kufungiwa?
Naombeni msaada wenu jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app