Teko Modise JF-Expert Member Joined May 20, 2017 Posts 2,331 Reaction score 7,733 Feb 9, 2024 #1 Leo nikiwa town katika mishemishe nakuta chuma ya serikali imepaki. Kucheki namba ni STN. Nikajiuliza si ni juzi tu hapa STM ilianza? Ndio imejaa kwa kasi hivyo! Serikali yetu inamiliki magari mengi na sasa usajili umefikia “STN” hii ni kasi zaidi ya 5G
Leo nikiwa town katika mishemishe nakuta chuma ya serikali imepaki. Kucheki namba ni STN. Nikajiuliza si ni juzi tu hapa STM ilianza? Ndio imejaa kwa kasi hivyo! Serikali yetu inamiliki magari mengi na sasa usajili umefikia “STN” hii ni kasi zaidi ya 5G
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 14,516 Reaction score 50,658 Feb 9, 2024 #2 Jana nimeona STP
Lovebird JF-Expert Member Joined Sep 27, 2012 Posts 6,383 Reaction score 9,337 Feb 9, 2024 #3 Lucha said: Jana nimeona STP Click to expand... normal standard temperature and pressure😀
S Sanze M JF-Expert Member Joined Jul 20, 2021 Posts 4,141 Reaction score 8,602 Feb 9, 2024 #4 Sasa unaficha namba ya nini! Ingekuwa mali ya mtu binafsi kweli.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Feb 9, 2024 #5 Chifu Sanze said: Sasa unaficha namba ya nini! Ingekuwa mali ya mtu binafsi kweli. Click to expand... Hajaficha namba ila yeye ameiokota huko mitandaoni na akaleta kama ilivyo ila anajipandisha ety amekutana nayo 🗑️
Chifu Sanze said: Sasa unaficha namba ya nini! Ingekuwa mali ya mtu binafsi kweli. Click to expand... Hajaficha namba ila yeye ameiokota huko mitandaoni na akaleta kama ilivyo ila anajipandisha ety amekutana nayo 🗑️
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Feb 9, 2024 #6 Aise Ova
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Feb 9, 2024 #7 Kwanini magari yote ya serikali wasiandike plate namba jina "SAMIA" au home boy Nyani Ngabu unasemaje mwanangu Ova
Kwanini magari yote ya serikali wasiandike plate namba jina "SAMIA" au home boy Nyani Ngabu unasemaje mwanangu Ova
Gudasta JF-Expert Member Joined Jan 25, 2011 Posts 501 Reaction score 788 Feb 9, 2024 #8 Lovebird said: normal standard temperature and pressure😀 Click to expand... Bromine......
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 14,239 Reaction score 15,876 Feb 9, 2024 #9 KIZIMKAZI ndio anachoweza YY. Sukari kilo 4800 Umeme hakuna.
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,264 Reaction score 27,132 Feb 10, 2024 #10 mbna mi keo nmeona gar namba SZU