Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww unaumia ukiwa kama na nani? Kama sio visebengo vyenu..mbumbu ni kutokujua kitu..ila kama wao wanaowaacha wanajua kwanini wapo sioni sababu ya ww na uzuzu wenu kuingilia mipango yao..Hizi ndiyo akili za mbumbumbu sasa kuwalipa ndiyo nini?
Akiondoka mmoja wanabaki watano wa nini?
Kweli Rage hakukosea kabisa
Mkude 32 ambayo ni amezidiwa na shabalala mwenye 34 na kapombe 35Tupe umri halisi ya chama, mkude, mzize, musonda kabla ya kuja kwa mpanzu....
Kuna kipindi uto walimchukua bigirimana over 45 year, ntibazonkiza over 45 na tukawa kimya
Lazima tuwaambie ukweli sio kuingiliaWw unaumia ukiwa kama na nani? Kama sio visebengo vyenu..mbumbu ni kutokujua kitu..ila kama wao wanaowaacha wanajua kwanini wapo sioni sababu ya ww na uzuzu wenu kuingilia mipango yao..
Wapo au hawapo?uliposema eti simba ina makipa sita..nikajua mnafiki tu wa yanga huko unataka uonekane umeanzisha hoja tena ya kichoko...we jamaa inama uchomoe huo mwiko nyuma..!
Kama ALLY KAMWE alivyosumbuka sakata la SANDALAND?Una mwanasheria kwanza? Usije ukaisumbua family yako bure
Hizi ndiyo akili zenu simbilisiWw unaumia ukiwa kama na nani? Kama sio visebengo vyenu..mbumbu ni kutokujua kitu..ila kama wao wanaowaacha wanajua kwanini wapo sioni sababu ya ww na uzuzu wenu kuingilia mipango yao..
Wapo kwani unawalipa weweWapo au hawapo?
Na kama Ahmed anavyohangaika sasa kulipa billion 10Kama ALLY KAMWE alivyosumbuka sakata la SANDALAND?
Timu yako imejaa wazee mbona hatujaijadiliHizi ndiyo akili zenu simbilisi
Kesho hayo mapazia yakigongwa mtaanza kudai GSM anaharibu ligi .
Mna wachezaji wengi mpaka hamjui pa kuwapeleka
Nyeusi ni nyeusi huwezi fanya iwe white.Wapo kwani unawalipa wewe
Kwani wamekuomba usaidie kuwalipa,mind your businessNyeusi ni nyeusi huwezi fanya iwe white.
Acheni janja janja simbilisi mapazia sita mnayalipa bure na hayachezi mengine yapo mbao ndefu..
Ndicho ulichokariri! Huna ubunifu mpya?Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
Kwa hili mbona tuwekane wazi?Timu yako imejaa wazee mbona hatujaijadili
Hakuna kitu kama hicho lazima tutumbue majipu yaliyoiva pale msimbazi .Kwani wamekuomba usaidie kuwalipa,mind your business
Mbona wakati wanamsajili walisema ni kwa ajili ya dirisha dogo (December 2024-....) au ni tofauti na hivyo?I salute you kinsmen.
Kuna vichekesho vingi sana hapa nchini lakini hilj la usajilj wa garasa Mpanzu nalo lijjmuishwe.
Huyu alisajiliwa kwa mihemko sana na bosi wetu gabachori aliingizwa chaka.
Huko Belgium walimkataa kwa majaribio sababu ya umri wake mkubwa miaka 37 y ukweli.
Inasemekana jamaa walitumia vipimo halisi vya kupima umri na kumkuta na miaka hiyo tajwa, si mnajua wenzetu hawapendagi janja janja?
Sasa mzigo huo wametupiwa simba na hakika mtajutia sana.
Kocha Fadlu naye hajui amtumie vipi yaani naye kama kapagawa hivi kaletewa michezaji rundo na hajui anaitumiaje huku akiwa na makipa sita..!
Kila mara amekuwa akijutia sana kujiunga na simba na amekuwa akisema kwa watu wake wa karibu ni bora angebaki kwao sauzi ..
Sasa mpanzu amekuwa mzigo uwanjani na mazoezini.
kama chama bado anajitafuta basi mpanzu ni bora zaidiI salute you kinsmen.
Kuna vichekesho vingi sana hapa nchini lakini hilj la usajilj wa garasa Mpanzu nalo lijjmuishwe.
Huyu alisajiliwa kwa mihemko sana na bosi wetu gabachori aliingizwa chaka.
Huko Belgium walimkataa kwa majaribio sababu ya umri wake mkubwa miaka 37 y ukweli.
Inasemekana jamaa walitumia vipimo halisi vya kupima umri na kumkuta na miaka hiyo tajwa, si mnajua wenzetu hawapendagi janja janja?
Sasa mzigo huo wametupiwa simba na hakika mtajutia sana.
Kocha Fadlu naye hajui amtumie vipi yaani naye kama kapagawa hivi kaletewa michezaji rundo na hajui anaitumiaje huku akiwa na makipa sita..!
Kila mara amekuwa akijutia sana kujiunga na simba na amekuwa akisema kwa watu wake wa karibu ni bora angebaki kwao sauzi ..
Sasa mpanzu amekuwa mzigo uwanjani na mazoezini.
simba hawapo makipa sita..kama unabisha taja hayo majina ya magolikipa sita wa simba uliosema wapo kikosini msimu huuWapo au hawapo?