Usajili wa mpanzu ni kichekesho na hauna tija kwa simba iliyojichokea..

Dj naomba ule wimbo wa wivuuu, wivuuuu mamaaa
 
simba hawapo makipa sita..kama unabisha taja hayo majina ya magolikipa sita wa simba uliosema wapo kikosini msimu huu
Kwahiyo wewe pimbi unabisha?
Feruz
Manula
Ally salim
Ayoub lakred
Husein abel
Camara

Hao wangapi? Kweli simbilisi ni simbilisi tu
 
wameona tunafaidi kua na mpanzu
wakasajili mayday huyu saivi ni resident amekaa hospital had amejua kutibu
na dirisha dogo wanaweka mkongoman mwingine
 
Aiseee 🤣🤣🤣
Roho mbaya na tabia za Kimasikini bhana umeandika kwa jaziba as if ulichangia chochote
 
Lazima tuwaambie ukweli sio kuingilia

Yaani uozo hatuwezi kuufumbia macho hapa nchini , acheni utapeli na umbumbumbu team lina makipa wengi kama veteran club.

Vipi lameck lawi mlimshajili?
Kamchukueni kwani si mlikua mnamshabikia unamsikia tena?
Tunahitaji kuongeza makipa 2 kama una sifa karibu tukupe nafasi
 
Hizi ndiyo akili zenu simbilisi

Kesho hayo mapazia yakigongwa mtaanza kudai GSM anaharibu ligi .

Mna wachezaji wengi mpaka hamjui pa kuwapeleka
Shida pilipili usiyoila kijana itakuwasha buree...hahahaa
 
Hakuna kitu kama hicho lazima tutumbue majipu yaliyoiva pale msimbazi .

Tupo kwenye kampeni ya kukomesha ujinga na utapeli pia umbumbumbu achaneni na mapazia yale sita angalau yabaki matatu tu.
Unatumbuaje jipu la jirani wakati kwako majipu yashaiva kabisa,mbn hujawatumbua wanaojidunga sindano na wavuta shisha
 
Kwa hili mbona tuwekane wazi?

Shabalala tu na kapombe tu miaka yao 35 na 34 bado hujajumlisha kwa vizee vingine kama kale kenye uwalaza sijui mnakaita nani? Eti SGR! Kweli tusi hili nj kubwa mama samia aliangalie Reli yetu inatukanwa wazi wazi
Pale kwako una wanufaika wa TASAF watupu
 
Tupe umri halisi ya chama, mkude, mzize, musonda kabla ya kuja kwa mpanzu....
Kuna kipindi uto walimchukua bigirimana over 45 year, ntibazonkiza over 45 na tukawa kimya
Halafu Ntibanzokinza akaenda Simba akiwa na 48 akaitumikia hadi alipofikisha 51 🤣
 
Usihukumu mtu kabla, tulisema haya kwa Chama muda mrefu lakini Bado anakiwasha!
 
Halafu Ntibanzokinza akaenda Simba akiwa na 48 akaitumikia hadi alipofikisha 51 🤣
Kwa kweli simbilisi ni wa kuwaonea huruma sana hawa
Utadhani huyo babu hakucheza kwao
 
Hivi kwa akili ya kawaida kabisa , timu inakuwaje na makipa sita na wawili wa kimataifa!!
Aya mambo utayakuta u mbumbumbuni tu kwenye timu inayo shiriki kombe la kina Mama.
Yaani kwa fikra za namna hii kichwa kinabaki kama kifuniko Cha shingo tu na si vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…