Usajili wa mpanzu ni kichekesho na hauna tija kwa simba iliyojichokea..

Hii ni List ya 30+ pale Utopoloni

1. Diarra
2. Boka
3. Farid
4. Bacca
5. Aucho
6. Mkude
7. Musonda
8. Sureboy
9. Dube
10. Chama
11. Max

Subs:
  • Mudathir
  • Mzize
  • Pacome
  • ...............
Ongezea Subustusheni zao sasa ambao mwakani wanajiunga na 30+ au tayari wako kundini.....
 
Reactions: BRN
Kama ulivyo usajili wa Dube
 
Wao wanasema ni kawaida eti na kisa wanalipwa na kina mangungu basi tuwaache

Yaani hiyo team imeoza
 
Tupe umri halisi ya chama, mkude, mzize, musonda kabla ya kuja kwa mpanzu....
Kuna kipindi uto walimchukua bigirimana over 45 year, ntibazonkiza over 45 na tukawa kimya
Ntibazonkiza alipotoka yanga akaenda wapi?? Ama kweli mbumbumbu hamnazo
 
Ukiwa mbumbumbu madhara ndo kama haya unayoyaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…