Usajili wa ngoma kwa Yanga ni wakuchezeshwa.....

Usajili wa ngoma kwa Yanga ni wakuchezeshwa.....

gentleman J

New Member
Joined
Apr 25, 2020
Posts
3
Reaction score
103
Habari zenu.

Fabrice ngoma ni mchezaji nzuri..

Juzi kati simba wameajiri scout wa kutafuta wachezaji je scout wa simba anapora wachezaji wa timu pinzani uwanja wa ndege,sasa kazi ya scout ni nini??

Hivi yanga wamtake mchezaji washindwe kumtumia pre contract kwa email??
Transfer market ya fabrice ngoma ni billion 1.

Ile picha ya ngoma anaonekana anapima afya ni picha ya kipindi kile anajiunga na raja Casablanca .

Wakala wa fabrice ngoma anachekecha pande zote mbili iliapate pesa nzuri kwa mteja wake.
Al hilal wanafungua mashitaka juu ya wachezaji wote waliovunja mikataba na timu yao,ikiwemo
Fabrice ngoma
Makabi lilepo..

Kama kuna timu tanzania itakayo
Wasajili wachezaji hao iwe tayari kushitakiwa..
Kuvunja mikataba bila kukubaliwa na timu yao

Ulaya timu ikitaka mchezaji zinapanda bei,sasa nashangaa hapa bonge vipi.

Nakuambia hivi simba hawawezi kumtambulisha fabrice ngoma leo saa 7,niko pale nimekaa nasubiri..
 
Habari zenu..
Fabrice ngoma ni mchezaji nzuri..

Juzi kati simba wameajiri scout wa kutafuta wachezaji je scout wa simba anapora wachezaji wa timu pinzani uwanja wa ndege,sasa kazi ya scout ni nini??

Hivi yanga wamtake mchezaji washindwe kumtumia pre contract kwa email??
Transfer market ya fabrice ngoma ni billion 1.

Ile picha ya ngoma anaonekana anapima afya ni picha ya kipindi kile anajiunga na raja Casablanca .

Wakala wa fabrice ngoma anachekecha pande zote mbili iliapate pesa nzuri kwa mteja wake.
Al hilal wanafungua mashitaka juu ya wachezaji wote waliovunja mikataba na timu yao,ikiwemo
Fabrice ngoma
Makabi lilepo..

Kama kuna timu tanzania itakayo
Wasajili wachezaji hao iwe tayari kushitakiwa..
Kuvunja mikataba bila kukubaliwa na timu yao

Ulaya timu ikitaka mchezaji zinapanda bei,sasa nashangaa hapa bonge vipi.

Nakuambia hivi simba hawawezi kumtambulisha fabrice ngoma leo saa 7,niko pale nimekaa nasubiri..
Mbona wanafunzi wao walivunja mikataba na vyuo vyao tuwa enroll pale Muhimbili lakini hawakulalamika?
 
Taarifa zilizokuja mda huu Al hilal wamefungua kesi juu ya wachezaji wote waliovunja mikataba.
Je wewe unadhani simba watamtambulisha nani saa 7??
Simba ilikuwa imeshasajili zaidi ya wachezaji watano kabla hata ya taarifa za Ngoma
 
Taarifa zilizokuja mda huu Al hilal wamefungua kesi juu ya wachezaji wote waliovunja mikataba.
Je wewe unadhani simba watamtambulisha nani saa 7??
Kwani Simba msimu huu inasajili mchezaji mmoja tu mpaka iyo saa saba awe uyo Ngoma wako?

Saa saba wanaweza wakatangaza mchezaji mwingine asiwe uyo Ngoma wako.kwanza Simba na Al hilal wanajuana wanaweza kuyamaliza na kilakitu kikaa sawa.
 
Mara hatukuwa tunamtka maana mchezaji mwenyewe ni wa majeruhi, mara thamani yake ni kubwa hatuwezi kuifikia, mara Al Hilal wamefungua kesi dhidi yake kwa kuvunja mkataba. Lipi ni lipi sasa?
 
Hamna hamu .Mbwembwe zote za namba 6 zimekatwa ghafla. Jangwani ni vilio vitupu.Hatusikii tena HabarI za namba 6. Pole Sana Wana Jangwani kwa pigo takatifu lililowakuta la kunyang'anywa tonge mdomoni
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Simba na Al hilai wanajuana!!
1 billion transfer fees
Je timu gani itamsajili hapa bongo??
Akuna kitu kinashindikana chini ya jua.
 
Habari zenu.

Fabrice ngoma ni mchezaji nzuri..

Juzi kati simba wameajiri scout wa kutafuta wachezaji je scout wa simba anapora wachezaji wa timu pinzani uwanja wa ndege,sasa kazi ya scout ni nini??

Hivi yanga wamtake mchezaji washindwe kumtumia pre contract kwa email??
Transfer market ya fabrice ngoma ni billion 1.

Ile picha ya ngoma anaonekana anapima afya ni picha ya kipindi kile anajiunga na raja Casablanca .

Wakala wa fabrice ngoma anachekecha pande zote mbili iliapate pesa nzuri kwa mteja wake.
Al hilal wanafungua mashitaka juu ya wachezaji wote waliovunja mikataba na timu yao,ikiwemo
Fabrice ngoma
Makabi lilepo..

Kama kuna timu tanzania itakayo
Wasajili wachezaji hao iwe tayari kushitakiwa..
Kuvunja mikataba bila kukubaliwa na timu yao

Ulaya timu ikitaka mchezaji zinapanda bei,sasa nashangaa hapa bonge vipi.

Nakuambia hivi simba hawawezi kumtambulisha fabrice ngoma leo saa 7,niko pale nimekaa nasubiri..
Mbona mnatetemeka kitu kinagonga eh!
 
Back
Top Bottom