Usajili wa Okrah: Simba SC leo wamepiga kwenye mshono haswa

Sure kumchukua Fabregas unaongeza kitu kikubwa sana kwenye brand ya timu hata kama hatacheza.
 
Ngoja nifukuwe hili kaburi, nyenyenye kiko wapi sasa?
 
bangi sio udi
 
Nafikiri jibu unalo
 
Ona wajanja wanavyopiga pesa Simba.

 
Ghana hiyo hiyo ambayo morisson anatokea ndio Ghana hiyo hiyo ambayo Simba wamesajili mshambuliaji ambaye anakiwasha QATAR
Vina muda basi[emoji28]..

Pye pye..kiko wapi sasa?[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ