Usajili wa panic wa Simba: Yanayoendelea mitandaoni

Usajili wa panic wa Simba: Yanayoendelea mitandaoni

Mangi Meno

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2024
Posts
292
Reaction score
895
Ewe mwana Lunyasi mwenzangu, weka kituko kilichopo mtandaoni kuhusi usajili wetu wa kupaniki.

Wakati wa usajili, Sifa anapewa Mo ila ligi na michuano mbalimbali ikianza, Lawama zote anapewa Mangungu.

1000054247.jpg

Blog maarufu ya soko Afrika yakashfu usajili wa kukurupuka wa wana lunyasi.
1000054312.jpg


Mwingine huyo hapo, mchambuzi na mwana Lunyasi mwenzetu kaamua kufunguka.
1000054817.jpg


Ndaro naye ni mwana Lunyasi amekuja kuziba pengo la Chama.

Ongeza mwana lunyasi kuhusu sajili zetu.
 
Dampo Fc mmeanza kuogopa, Simba ametulia sana kwenye huu usajili safari hii mmetka kapa kwenda kuhijack deal za simba kama misimu iliyopita

Aziz K,pacome,Aucho hizi ni baashi ya Scout za Simba mlizopita nazo kwa uzembe wa kamati ya usajili ya simba, safari hii mmekutana na wakali wa hizi kazi
 
Ewe mwana Lunyasi mwenzangu, weka kituko kilichopo mtandaoni kuhusi usajili wetu wa kupaniki.

Wakati wa usajili, Sifa anapewa Mo ila ligi na michuano mbalimbali ikianza, Lawama zote anapewa Mangungu.

View attachment 3036486
Blog maarufu ya soko Afrika yakashfu usajili wa kukurupuka wa wana lunyasi.
View attachment 3036487

Mwingine huyo hapo, mchambuzi na mwana Lunyasi mwenzetu kaamua kufunguka.
View attachment 3036488

Ndaro naye ni mwana Lunyasi amekuja kuziba pengo la Chama.

Ongeza mwana lunyasi kuhusu sajili zetu.
Unaumia ukiwa angle gani hapo utopoloni?
 
Ewe mwana Lunyasi mwenzangu, weka kituko kilichopo mtandaoni kuhusi usajili wetu wa kupaniki.

Wakati wa usajili, Sifa anapewa Mo ila ligi na michuano mbalimbali ikianza, Lawama zote anapewa Mangungu.

View attachment 3036486
Blog maarufu ya soko Afrika yakashfu usajili wa kukurupuka wa wana lunyasi.
View attachment 3036487

Mwingine huyo hapo, mchambuzi na mwana Lunyasi mwenzetu kaamua kufunguka.
View attachment 3036488

Ndaro naye ni mwana Lunyasi amekuja kuziba pengo la Chama.

Ongeza mwana lunyasi kuhusu sajili zetu.
Hawa jamaa wanaweza kuwapa mkataba Kayumba na Dogo Janja! Kama kigezo ni rasta tu!!
 
Ewe mwana Lunyasi mwenzangu, weka kituko kilichopo mtandaoni kuhusi usajili wetu wa kupaniki.

Wakati wa usajili, Sifa anapewa Mo ila ligi na michuano mbalimbali ikianza, Lawama zote anapewa Mangungu.

View attachment 3036486
Blog maarufu ya soko Afrika yakashfu usajili wa kukurupuka wa wana lunyasi.
View attachment 3036487

Mwingine huyo hapo, mchambuzi na mwana Lunyasi mwenzetu kaamua kufunguka.
View attachment 3036488

Ndaro naye ni mwana Lunyasi amekuja kuziba pengo la Chama.

Ongeza mwana lunyasi kuhusu sajili zetu.
Uyo admin wa africasoccerzone ameua 😀😀😀
 
Back
Top Bottom