Usajili wa simba wa Billion 1.5 ni kwaajili ya kuzifunga timu ndogo tu au

Timu ndogo zina njaa.....
Wakionyeshwa hela wanaenda uwanjani kuqmilisha ratiba.
 
Yaani yanga mna kazi sana.. Sisi tunaumia kutoa sare na ninyi chakushangaza nyie mmefurahi na kuona kila kitu mmemaliza.. Mbona hamkosagi maneno? Tukifungwa na timu ndogo mnasema tuliandaa timu ili kuifunga yanga tu.. Na sasa mmepona bado mnachonga midomo ka tarumbeta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu magoli yanatengenezwa wafungaji wanatetemeka miguu,bongo hakuna foward
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…