Simba imesajili vizuri
Upande wa Beki sio mbaya sana, Akpan atamsaidia Kanoute. Mhm apunguze UZITO. PHIRI is the best kwa sbb ana track mpira na anakimbia kwa haraka naye aongeze mazoezi ya kupunguza uzito.
Mzungu DEJAN yule hapana kwa soka la Afrika hatatusaidia mfano Jana SImba wakicheza na HILAL kapewa 90 Min hana on target. Mzito, hakimbii, hakaii na mpira wont help kwenye mechi za kimataifa ukitaka ucheze kama striker mmoja mbele.
Kapama ni Kiraka atatusaidia ZIMBWE akiuumia au Inonga akiiumia usajili mzuri anahtaj utulivu na kupunguza hasira ndani ya box, Okra taa ya kijani mzuri, OKWA hamna kitu hana kitu cha ziada...
KIKOSI CHANGU CHA KUANZA KILA MECHI INYESHE MVUA ISINYESHE
MANULA
KAPOMBE/ISRAEL INONGA QUATTARA/ONYANGO ZIMBWE JR
KANOUTE/AKPAN
SAKHO/OKWA CHAMA OKRAH BANDA/KIBU
PHIRI (KYOMBO)
Upande wa Beki sio mbaya sana, Akpan atamsaidia Kanoute. Mhm apunguze UZITO. PHIRI is the best kwa sbb ana track mpira na anakimbia kwa haraka naye aongeze mazoezi ya kupunguza uzito.
Mzungu DEJAN yule hapana kwa soka la Afrika hatatusaidia mfano Jana SImba wakicheza na HILAL kapewa 90 Min hana on target. Mzito, hakimbii, hakaii na mpira wont help kwenye mechi za kimataifa ukitaka ucheze kama striker mmoja mbele.
Kapama ni Kiraka atatusaidia ZIMBWE akiuumia au Inonga akiiumia usajili mzuri anahtaj utulivu na kupunguza hasira ndani ya box, Okra taa ya kijani mzuri, OKWA hamna kitu hana kitu cha ziada...
KIKOSI CHANGU CHA KUANZA KILA MECHI INYESHE MVUA ISINYESHE
MANULA
KAPOMBE/ISRAEL INONGA QUATTARA/ONYANGO ZIMBWE JR
KANOUTE/AKPAN
SAKHO/OKWA CHAMA OKRAH BANDA/KIBU
PHIRI (KYOMBO)