Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
Wadau naomba msaada wa kimawazo,
Katika hali ya kutapatapa mwanangu kasomea certificate kwenye chuo fulani ivi ila baada kumaliza kapewa cheti kinachoonesha kuwa chuo hicho kimesajiliwa na veta. sasa je anaweza kwenda kusomea diploma kwenye vyuo wanavyohitaji awe na certificate ya chuo kinachotambulika na Nacte?
msaada kwenye tuta tafadhali!
Katika hali ya kutapatapa mwanangu kasomea certificate kwenye chuo fulani ivi ila baada kumaliza kapewa cheti kinachoonesha kuwa chuo hicho kimesajiliwa na veta. sasa je anaweza kwenda kusomea diploma kwenye vyuo wanavyohitaji awe na certificate ya chuo kinachotambulika na Nacte?
msaada kwenye tuta tafadhali!