Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Leo nimemsikia semaji la CAF Ahmed Ally akielezea kuhusu usajili wa Simba, nimemsikiliza kwa umakini, amesema wamemaliza kusajili wachezaji wa ndani, ina maana Habib Kyombo na Nassoro Kapama ndio tumemaliza, waliobaki ni wa kimataifa ambao kiukweli bado watatu.
Mm naishauri timu yangu hii inayoninyima usingizi, timu niliyoanza kushabikia tangu kipindi kile marehemu John Makelele akimtungua marehemu Sahau Saidi Kambi, timu ninayoipenda kuliko zote duniani, CHONDE CHONDE, tuongeze wachezaji wa ndani, kwa sababu baadhi ya wachezaji wa msimu uliopita uwezo umepungua sana.
Jonas Mkude tayari ni maji ya jioni
Mzamiru Yassin pia maji ya jioni
Erasto Nyoni maji ya jioni
Tshabalala maji ya jioni
Kapombe maji ya jioni
Onyango maji ya usiku
Israel Mwenda maji ya jioni
Hassan Dilunga maji ya jioni
Kibu Dennis maji ya jioni
Naomba sana, Simba iwaongeze Salum Kihimbwa, Ismail Mhesa, kuna kiungo mmoja wa Ruvu mwili jumba halafu kuna kiungo mwingine wa Geita Gold alikuwa Ruvu anaitwa Naftar Nashon.Otherwise kuwategemea hao hapo juu tutakuja kulaumiana bure.
Mm naishauri timu yangu hii inayoninyima usingizi, timu niliyoanza kushabikia tangu kipindi kile marehemu John Makelele akimtungua marehemu Sahau Saidi Kambi, timu ninayoipenda kuliko zote duniani, CHONDE CHONDE, tuongeze wachezaji wa ndani, kwa sababu baadhi ya wachezaji wa msimu uliopita uwezo umepungua sana.
Jonas Mkude tayari ni maji ya jioni
Mzamiru Yassin pia maji ya jioni
Erasto Nyoni maji ya jioni
Tshabalala maji ya jioni
Kapombe maji ya jioni
Onyango maji ya usiku
Israel Mwenda maji ya jioni
Hassan Dilunga maji ya jioni
Kibu Dennis maji ya jioni
Naomba sana, Simba iwaongeze Salum Kihimbwa, Ismail Mhesa, kuna kiungo mmoja wa Ruvu mwili jumba halafu kuna kiungo mwingine wa Geita Gold alikuwa Ruvu anaitwa Naftar Nashon.Otherwise kuwategemea hao hapo juu tutakuja kulaumiana bure.