Yaani hakuna ubishi kila mpenda soka Tanzania alipoona hekaheka za usajili Kwa akili ya klabu ya Simba alikubali kwamba Simba wameamua na mambo yatakuwa safi
Lakini pamoja na gharama MO alizoingia za kunyang'anya wachezaji waliokuwa katika uwezo kutoka timu za ligi ya Tanzania kama salamba, kaheza, Mohammed kutoka prison na wengine kibao.
Na usajili wa akina wawa, nyoni, kappmbe na wengine wengi tena Kwa gharama na mishahara wachezaji wanayopata ni dhahiri kwamba matokeo hayaendani na thamani ya wachezaji waliopo licha ya kupoteza mechi kimataifa lakini hata wanapokutana na timu za hapa Tanzania performance ni mbovu na uwezo wa wachezaji baadhi ni wa kutiliwa mashaka. Nani anayewatafutia Simba Hawa wachezaji ?
Utashabgaa timu I na wachezaji wa kimataifa Rwanda, Ivory coast, Zambia, Uganda, Ghana nakadhalika lakini wakikutana na wachezaji wa bongo ni aibu tupu.
Ni wakati sasa umefika wa Simba kuwa na mkakati wa kuwa na usajili wa kisasa kuliko kuletewa wachezaji kwenye gunia na hawana msaada wowote kitaifa na kimataifa.
Haiingii akili ni kufungwa kizembe tena magoli mengi Kwa timu inayojiita bora kuliko zote Tanzania
Lakini pamoja na gharama MO alizoingia za kunyang'anya wachezaji waliokuwa katika uwezo kutoka timu za ligi ya Tanzania kama salamba, kaheza, Mohammed kutoka prison na wengine kibao.
Na usajili wa akina wawa, nyoni, kappmbe na wengine wengi tena Kwa gharama na mishahara wachezaji wanayopata ni dhahiri kwamba matokeo hayaendani na thamani ya wachezaji waliopo licha ya kupoteza mechi kimataifa lakini hata wanapokutana na timu za hapa Tanzania performance ni mbovu na uwezo wa wachezaji baadhi ni wa kutiliwa mashaka. Nani anayewatafutia Simba Hawa wachezaji ?
Utashabgaa timu I na wachezaji wa kimataifa Rwanda, Ivory coast, Zambia, Uganda, Ghana nakadhalika lakini wakikutana na wachezaji wa bongo ni aibu tupu.
Ni wakati sasa umefika wa Simba kuwa na mkakati wa kuwa na usajili wa kisasa kuliko kuletewa wachezaji kwenye gunia na hawana msaada wowote kitaifa na kimataifa.
Haiingii akili ni kufungwa kizembe tena magoli mengi Kwa timu inayojiita bora kuliko zote Tanzania