Huyo si Msanii,ni Presenter wa Radio ya Clouds FM kwenye kipindi maarufu XXL kinachoruka hewani Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa Saba mchana mpaka saa kumi.
Ni maarufu sana kwa majina ya B-12,B Dozen au B-Twangala,B Twizzy lakini jina lake halisi ni Hamis Mandi. Pia ni mjasiriamali,anamiliki duka la pamba maarufu kama "BORN 2 SHINE."