Usajili wa Yanga nina mashaka nao; Hauna kuwapima afya wachezaji

Naona hatuelewani baki na msimamo wako
😝😝😝😝 nyie Viti maalumu fc bwana dah! Simba ni taasisi kubwa inayoongozwa kisomi.

Nimekujibu kutokana na hili swali lako nitajie mchezaji gani wa Simba B anaokotwagwa mtaani analetwa anacheza?
Simba B ya kukusanywa vijana wakati wa mashindano? Nadhani timu za Kkoo huzijui vizuri Mkuu
 
😝😝😝😝 nyie Viti maalumu fc bwana dah! Simba ni taasisi kubwa inayoongozwa kisomi.

Nimekujibu kutokana na hili swali lako nitajie mchezaji gani wa Simba B anaokotwagwa mtaani analetwa anacheza?
Tuna points zetu tatu pale labda kmc ndo mmewabeba,maana bila points zetu Kenya ndo wangepata hiyo fursa na kwa taarifa yako Simba ina mfadhili tu bado si independent institution
 
Tuna points zetu tatu pale labda kmc ndo mmewabeba,maana bila points zetu Kenya ndo wangepata hiyo fursa na kwa taarifa yako Simba ina mfadhili tu bado si independent institution
Unamaanisha nini unapoandika Simba si Taasisi huru? Je kuna watu au Serikali inayofanya maamuzi ya Simba tofauti na Bodi ya wakurugenzi iliyopo kwa mujibu wa katiba?

Funguka mtani usiandike tetesi andika ukweli
 
Unamaanisha nini unapoandika Simba si Taasisi huru? Je kuna watu au Serikali inayofanya maamuzi ya Simba tofauti na Bodi ya wakurugenzi iliyopo kwa mujibu wa katiba?

Funguka mtani usiandike tetesi andika ukweli
Dripboy unawapoteza hapa point za mashiko ebu kwanza toa 15 point za simba wanaenda wapi na point zao tatu mana simba ahitaji ye ni bingwa ila kuna mtu kazichukua izi alaf mbishi
 
Goddamn! Mimi nimeanza kuifatilia Simba mwaka 98 WTF are you talking? I know the whole cunts and good things of Simba.

Na cha kukushangaza I'm not just a shabiki ni mwanachama hai wa Simba sports club
98!?..kwa hyo ile mwaka 91 wakati said sued 'scud' anawatungua simba mara mbili ulikua hujazaliwa!?
 
98!?..kwa hyo ile mwaka 91 wakati said sued 'scud' anawatungua simba mara mbili ulikua hujazaliwa!?
Acha utani soma uelewe, Mwaka 98 ndio rasmi nilianza kujitambu mimi ni nani na kuwa mshabiki wa Simba sasa piga hesabu kama ningekuwa nimezaliwa 1990 hiyo 1998 si ningekuwa na miaka nane tu kwa wakati huo ningewezaje kuwa shabiki wa Simba?

Sasa hivi mtoto wa miaka mitano anakuwa shabiki wa timu fulani haraka sana kwa sababu ya teknolojia hata kama aishi Dar es salaam
 
Ko hapo anayeshauri kupima wachezaji kabla ya kuwasajili na wewe nani ni mbumbumbu?
 
we jamaa mi nashabikia yanga mwaka 88 nipo la kwanza,redio moja mnakusanyika wote...
 
Labda mbebe kombe kwa kutumia ile mbinu yenu haramu ya kupulizia sumu kwenye vyumba, kwa mpira halali ni hamsa hamsa.
 
Labda mbebe kombe kwa kutumia ile mbinu yenu haramu ya kupulizia sumu kwenye vyumba, kwa mpira halali ni hamsa hamsa.
Tuweke ushabiki na unazi pembeni Ni timu gani Bora kwa sasa Tanzania?
Ni timu gani ina mafanikio zaidi kimataifa kutoka Tanzania?
Ni timu gani ina wachezaji wazuri kuliko zote Tanzania?
Ni timu gani ingeweza kucheza mechi kila baada ya siku mbili bila mchezaji kupata injury hata mmoja?

Ni timu gani ingeweza kucheza mechi kila baada ya siku moja Singida united vs Simba Simba vs Sevilla Simba vs Biashara Yanga hapa ungeiweka nafasi gani?

Nijibu maswali yangu kwa hoja weka unazi pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…