Dripboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 3,178
- 4,609
๐๐๐๐ nyie Viti maalumu fc bwana dah! Simba ni taasisi kubwa inayoongozwa kisomi.Naona hatuelewani baki na msimamo wako
Nimekujibu kutokana na hili swali lako nitajie mchezaji gani wa Simba B anaokotwagwa mtaani analetwa anacheza?
Simba B ya kukusanywa vijana wakati wa mashindano? Nadhani timu za Kkoo huzijui vizuri Mkuu