ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Club ya PAOK ya Nchini Ugiriki imetangaza Kumsajiri Mtanzania Mwenzetu SAMATTA akitokea Fenabache, Cha Kushangaza nimepia Comment za Mashabiki asilimia 99% hawajapenda Usajiri wake.
Kwa msaada wa Insta Translator nimeweza kuelewa wanacho kimaanisha, Wengi wanasema ni Striker Mbovu kuwahi Kutokea na Wanaionea Huruma PAOK, Katika Comment 1000+ za Tangazo la Kwanza La Samatta Kusajiriwa, Mashabiki wameoneshwa Kuchukizwa na Usajiri huo, Hawa Wagiriki wanataka kutwambia nini watanzania?
So hawa Wagiriki wanataka Kutwambia nini kuhusu Captain wetu?
Kwa msaada wa Insta Translator nimeweza kuelewa wanacho kimaanisha, Wengi wanasema ni Striker Mbovu kuwahi Kutokea na Wanaionea Huruma PAOK, Katika Comment 1000+ za Tangazo la Kwanza La Samatta Kusajiriwa, Mashabiki wameoneshwa Kuchukizwa na Usajiri huo, Hawa Wagiriki wanataka kutwambia nini watanzania?
So hawa Wagiriki wanataka Kutwambia nini kuhusu Captain wetu?