Political Engineer2
Senior Member
- Feb 23, 2018
- 149
- 117
Wadau salaam kwenu
Naomba msaada wa namna ya kusajiri hizi taasisi za kijamii.
Nfano: Nataka kusajiri Taasisi ya kuhudumia kaya masikini au wajasiriamali wadogo wadogo.
Utaratibu uko vipi,na kama kuna anayejua naman zinavyojiendesha naomba msaada tafadhali.
Asanteni
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada wa namna ya kusajiri hizi taasisi za kijamii.
Nfano: Nataka kusajiri Taasisi ya kuhudumia kaya masikini au wajasiriamali wadogo wadogo.
Utaratibu uko vipi,na kama kuna anayejua naman zinavyojiendesha naomba msaada tafadhali.
Asanteni
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app