USAJIRI WA TAASISI YA KIUCHUMI

USAJIRI WA TAASISI YA KIUCHUMI

Political Engineer2

Senior Member
Joined
Feb 23, 2018
Posts
149
Reaction score
117
Wadau salaam kwenu

Naomba msaada wa namna ya kusajiri hizi taasisi za kijamii.

Nfano: Nataka kusajiri Taasisi ya kuhudumia kaya masikini au wajasiriamali wadogo wadogo.

Utaratibu uko vipi,na kama kuna anayejua naman zinavyojiendesha naomba msaada tafadhali.

Asanteni

Naomba kuwasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom