Usalama wa masikio yetu na Kuazimana Earphones / Headphones

Mkuu umeanza vizuri lakini umeshindwa kumaliza vzr. Ulianza na strong point kwamba "Masikio hayasafishwi na cotton buds." Nilitarajia utatuelekeza masikio yanasfishwa na nini badala ya hizo cotton buds?
Mkuu nimejibu hapo juu kwenye comment ya kaboom, nenda kaisome then uulize swali lako
 
Mkuu hili tangazo la Earphones za OFIA na SAMSUNG limelipiwa ?
 
Mkuu hili tangazo la Earphones za OFIA na SAMSUNG limelipiwa ?
Hahaha, hizo ndo earphone nnazopenda kutumia ndomana unaona imekuwa rahisi kuzikumbuka,
nikitaka kusikiliza miziki nakuwa nabadilisha ladha kwa hizo aina mbili, ila ofia 'imetyuniwa' sauti kwo mdundo zaidi ya sabwoofa...
Na kuhusu headphone huwa natumia Beats by Dr Dre au BAT
 
[emoji1][emoji28]Unatibu nini na nini ili nkija nijipange nijue nakuja kutibiwa kitu gan
Vyote... Kuanzia miwasho ya mwili, homa ya baridi, kuweweseka, yaani magonjwa yote ya mwili bilakusahau na mazoezi ya viungo
 
ZILE BOOM ZA tecno HUTUMII HATA KIDOGO??
 
Mkuu umeanza vizuri lakini umeshindwa kumaliza vzr. Ulianza na strong point kwamba "Masikio hayasafishwi na cotton buds." Nilitarajia utatuelekeza masikio yanasfishwa na nini badala ya hizo cotton buds?
masikio njia salama zaidi ya kusafisha ni kwa kutumia hydrogen peroxide..huu ute unatokeaga naturally ndani ya sikio kama kinga dhidi ya vumbi..ucjafu wadudu nywele na vinginevyo but ukikaa mda mrefu sana na kujaa mixer uchafu inakuwa sio salama.pia unaganda kwenye kuta za ndani ndani hukoo za sikio..so hata ukienda clinic doc atakwambia kabisa cotton buds sio salama ama ukitumia cotton buds unaweza kuutoa huu ulioganda mwanzoni sio kule ndani.so hydrogen peroxide ndo solution.unatia few drops kweny sikio thn unalala iingie ndani zaidi thn ikifika inalainisha uchafu unabanduka thn unalala kinyume kuelekeza sikio chini unatoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…