"Usalama wa Taifa" wanaompa Dkt. Slaa taarifa na kashfa za rushwa kwa wanasiasa wenzake toka 1995 ni kina nani?

"Usalama wa Taifa" wanaompa Dkt. Slaa taarifa na kashfa za rushwa kwa wanasiasa wenzake toka 1995 ni kina nani?

Dr Slaa ni muongo anatumia siasa kama sehemu ya kuvuna fedha na kuongeza umaarufu.Kupitia siasa zake za majitaka amefanikiwa kuwachota wajinga wajinga wengi.

Dr Slaa aliondoka CDM miaka mingi sijiu kwanini mpaka leo anajibaraguza na chama alichokitosa kipindi cha uchaguzi.

Vipo vyama vingi NCCR,ACT,CHAUMA vina nafasi ya kuwapokea wanasiasa wa aina ya Dr Slaa.
Hapo hapo wanasema akishinda Mbowe CDM inakufa😂

Tupo makini sana na watu hawa
 
Baadae nikaja Kugundua kua DINI inabaki kua DINI , na watu wengi sana wanaheshimu viongozi wa Dini yao.

RC ilifanikisha sana katika suala la Ujasusi, naweza sema ndio Taasisi pekee Duniani yenye mkono mrefu unaofika mpaka uvunguni kwa Kitanda kilicho Ndani ya Chumba kwenye Handaki.

Hivo Taarifa za Dr Silaa, usizitilie Shaka.

Mbowe must GO!!.
Ikiwa unaamini taarifa za Dr Slaa ipo siku utaamini Baba yako si Baba yako.
Kutoa tuhuma kwa wenzako ni rahisi sana,kuthibitisha tuhuma hizo pasipo shaka ni kazi ngumu sana.
Siasa za Dr Slaa za kuchafua watu zimepitwa na wakati ifike mahali wote waliochafuliwa wampeleke Mahakani akathibitishe na si kumwacha aendelee kuropoka.
 
S
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Shida ukushakuwa padre husemi siri uliyoo
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Ukishakuwa padre humsemi mtu aliyekupa siri. Unaweza ukaisema ile siri kwa manufaa ya watu kama fundisho au tahadhari nk.
 
Dr Slaa ni muongo anatumia siasa kama sehemu ya kuvuna fedha na kuongeza umaarufu.Kupitia siasa zake za majitaka amefanikiwa kuwachota wajinga wajinga wengi.

Dr Slaa aliondoka CDM miaka mingi sijiu kwanini mpaka leo anajibaraguza na chama alichokitosa kipindi cha uchaguzi.

Vipo vyama vingi NCCR,ACT,CHAUMA vina nafasi ya kuwapokea wanasiasa wa aina ya Dr Slaa.
Huko sisiemu si abaki huko huko
 
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Ni wazalendo
 
Umesema anapewa ili kuchagua watu, halafu unataka kujua wanaompa taarifa. Kama unaamini taarifa anazopewa ni kwa ajili ya kuchagua watu Kuna haja gani ya kuwajua hai watu.
Usalama wa taifa Wana njia nyingi za kufanya kazi, Kama wametoa taarifa na taarifa haifanyiwi kazi wanaweza kutumia vyombo vya habari makini, wabunge makini, na watu wenye ushawishi kutoa taarifa.
Kama unakumbuka kesi ya jamiiforums ya kukataa kutoa chanzo cha taarifa utakuwa umeelewa vizuri.
 
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Nilidhani unahoji uadilifu wa vyombo hivyo vya dola kumbe lengo la andiko lako ni kukingia kifua Dola pamoja na Mbowe?

Whistle blower Slaa anaingiaje kwenye lawama, anataka umaarufu wa kufanyia nini kwa waTz, kuna chama anataka kuanzisha hivyo anatafuta popularity?

Kwanini msichunguze yaliyosemwa badala yake unakuja na concln kwamba kasema uongo, ni lini umefanyia utafiti wa kiuchunguzi kuhusu habari hizo na kuja na jibu ulilokuja nalo?

Haya masuala ukiyakurupukia kishabiki na kikada yanakuvua nguo na kukuacha mtupu.

Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kubebwa na mkumbo wa kanusha kanusha yenu bila kuoneshwa vielelezo vinavyotoa majibu halisi na ya kweli.
 
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Kwanza inapaswa ujue members wa huko kwenye safety wengi wanatokea wapi na huyu mwenye silaha na ye katokea wapi. Ukishajua sogea kwa mama uji piga wa ulezi na vitumbua nenda kazini kwako hapo Sokoni Tandika au jifungie uongeze idadi ya toddlers. Mambo ya wakubwa waachie wakubwa
 
Katika umri wangu huu, sijawahi kusikia mtu anakuwa balozi siyo wa nyumba kumi naomba kueleweka, siyo jasusi na kama wapo ni wachache sana.
 
Ikiwa unaamini taarifa za Dr Slaa ipo siku utaamini Baba yako si Baba yako.
Kutoa tuhuma kwa wenzako ni rahisi sana,kuthibitisha tuhuma hizo pasipo shaka ni kazi ngumu sana.
Siasa za Dr Slaa za kuchafua watu zimepitwa na wakati ifike mahali wote waliochafuliwa wampeleke Mahakani akathibitishe na si kumwacha aendelee kuropoka.
Hata kama Slaa ana makando kando yake ila huyu mzee anatembea na data, na mkweli, unakumbuka mwembe yanga alivyotaja LIST OF SHAME(mafisadi papa) kwa majina, akiwemo ROSTAM.
 
Back
Top Bottom