Hapo hapo wanasema akishinda Mbowe CDM inakufa😂Dr Slaa ni muongo anatumia siasa kama sehemu ya kuvuna fedha na kuongeza umaarufu.Kupitia siasa zake za majitaka amefanikiwa kuwachota wajinga wajinga wengi.
Dr Slaa aliondoka CDM miaka mingi sijiu kwanini mpaka leo anajibaraguza na chama alichokitosa kipindi cha uchaguzi.
Vipo vyama vingi NCCR,ACT,CHAUMA vina nafasi ya kuwapokea wanasiasa wa aina ya Dr Slaa.
Ikiwa unaamini taarifa za Dr Slaa ipo siku utaamini Baba yako si Baba yako.Baadae nikaja Kugundua kua DINI inabaki kua DINI , na watu wengi sana wanaheshimu viongozi wa Dini yao.
RC ilifanikisha sana katika suala la Ujasusi, naweza sema ndio Taasisi pekee Duniani yenye mkono mrefu unaofika mpaka uvunguni kwa Kitanda kilicho Ndani ya Chumba kwenye Handaki.
Hivo Taarifa za Dr Silaa, usizitilie Shaka.
Mbowe must GO!!.
Shida ukushakuwa padre husemi siri uliyooWakuu salam.
Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.
Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.
Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!
Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.
Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...
Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.
Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.
Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...
Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Ukishakuwa padre humsemi mtu aliyekupa siri. Unaweza ukaisema ile siri kwa manufaa ya watu kama fundisho au tahadhari nk.Wakuu salam.
Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.
Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.
Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!
Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.
Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...
Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.
Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.
Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...
Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Huko sisiemu si abaki huko hukoDr Slaa ni muongo anatumia siasa kama sehemu ya kuvuna fedha na kuongeza umaarufu.Kupitia siasa zake za majitaka amefanikiwa kuwachota wajinga wajinga wengi.
Dr Slaa aliondoka CDM miaka mingi sijiu kwanini mpaka leo anajibaraguza na chama alichokitosa kipindi cha uchaguzi.
Vipo vyama vingi NCCR,ACT,CHAUMA vina nafasi ya kuwapokea wanasiasa wa aina ya Dr Slaa.
Ni wazalendoWakuu salam.
Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.
Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.
Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!
Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.
Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...
Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.
Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.
Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...
Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Nilidhani unahoji uadilifu wa vyombo hivyo vya dola kumbe lengo la andiko lako ni kukingia kifua Dola pamoja na Mbowe?Wakuu salam.
Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.
Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.
Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!
Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.
Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...
Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.
Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.
Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...
Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
They are not even close kuwa usalamaSlaa na Mbowe ndiyo usalama wa taifa wenyewe.
Kwanza inapaswa ujue members wa huko kwenye safety wengi wanatokea wapi na huyu mwenye silaha na ye katokea wapi. Ukishajua sogea kwa mama uji piga wa ulezi na vitumbua nenda kazini kwako hapo Sokoni Tandika au jifungie uongeze idadi ya toddlers. Mambo ya wakubwa waachie wakubwaWakuu salam.
Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.
Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.
Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!
Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.
Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...
Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.
Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.
Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...
Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Siku njema BrazaAleikhum Salaam Sheikh....
Kheri?
Braza mbona umejibu konyonge sana??? Usije ukawa kama wale Mabraza wa Kinondoni wanaoogopa mpaka Mende wakimuona? 🤣🤣🤣Aleikhum Salaam Sheikh....
Kheri?
Hata kama Slaa ana makando kando yake ila huyu mzee anatembea na data, na mkweli, unakumbuka mwembe yanga alivyotaja LIST OF SHAME(mafisadi papa) kwa majina, akiwemo ROSTAM.Ikiwa unaamini taarifa za Dr Slaa ipo siku utaamini Baba yako si Baba yako.
Kutoa tuhuma kwa wenzako ni rahisi sana,kuthibitisha tuhuma hizo pasipo shaka ni kazi ngumu sana.
Siasa za Dr Slaa za kuchafua watu zimepitwa na wakati ifike mahali wote waliochafuliwa wampeleke Mahakani akathibitishe na si kumwacha aendelee kuropoka.
Hujakosea ni mlemleBraza mbona umejibu konyonge sana??? Usije ukawa kama wale Mabraza wa Kinondoni wanaoogopa mpaka Mende wakimuona? 🤣🤣🤣
Nikifa MkeWangu Asiolewe
Bolotoba