"Usalama wa Taifa" wanaompa Dkt. Slaa taarifa na kashfa za rushwa kwa wanasiasa wenzake toka 1995 ni kina nani?

Alisema source yake ni vijana wazalendo walioko usalama wa taifa.
 
Ng'wanangwa Vijana wa Kinondoni huwa wanaogopa mpaka Mende, nikipita mazingira yale itabidi niwapige picha πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Kuna jamaa alihamia dodoma kikazi na mke wake na watoto hivyo akapnaga kwa dada ....siku moja wanatoka kazini yeye na mke wake kuingia chumbani kwao wakakuta ile mijusi mikubwa imenasa kwenye net asee jamaa alihamaki hata mimi niliogopa nikijiuliza kuna nini mle akatoa watoto wake nje wote halafu akaniita mimi wala yeye hataki hata kuingia anauliza umemuona? piga hata uvunje zile hega za net haina shida.......Nikamuona kwanza kale ka mjusi kenyewe kadogo tu nikapiga kwa kutumia lapa na nikakatoa nimeshika mkia.

Jamaa ile natoa mlangoni akaniona akapiga kelele yesuuuuuuuuuuu. Mwaka 2014

inshort hata baada ya kukaaua jamaa hakulala mle ndani.Nilishangaa sana wakati sisi tunalala kwenye nyumba za nyasi hao mijusi walikuwa wanatudondea wala hatuwazi anapigwa kofi pale pale na hatupwi atatupwa kesho yake .....Nyoka ana shughulikiwa vizuri bila hata kumuhusisha msure
 
Hizoo ni lugha za wanasiasa....!! Watakuvuruga....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…