Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Tanzania imekuwa nchi ya kupigiwa mfano ndani na nje ya Bara la Afrika kwa kuwa na Amani na Utulivu uliotukuka kutokana na uthabiti wa Ulinzi na Usalama.Kwenye Katiba Inayopendekezwa ile Ibara ya 265 kuanzia kifungu cha (1) kinaeleza kuwa jukumu la Ulinzi na Usalama wa Jamhuri ya Muungano ni la kila raia.
(2) Usalama wa Jamhuri ya Muungano unahusu ulinzi wa mipaka yote ya eneo la Jamhuri ya Muungano kama ilivyoainishwa katika ibara ya 2 ikiwa ni pamoja na ardhi ,anga ,mito,maziwa, visiwa na bahari kuu watu wake, mali zao haki ,uhuru na maslahi mengine ya kitaifa dhidi ya vitisho vya ndani na nje ya nchi.
Ibara ya 266 Inavitaja vyombo vya ulinzi na usalama
a.JWTZ
b.Jeshi la Polisil la Jamhuri ya MUUNGANO na
c.Usalama wa Taifa.
Msingi mzuri uliopo na unaotajwa katika Katiba Inayopendekezwa kwa kutambua nafasi ya raia katika jukumu la Ulinzi na usalama unapaswa kuungwa mkono na kila mpenda Amani na Utulivu. Mungu Ibariki Tanzania.
Nawasilisha.
(2) Usalama wa Jamhuri ya Muungano unahusu ulinzi wa mipaka yote ya eneo la Jamhuri ya Muungano kama ilivyoainishwa katika ibara ya 2 ikiwa ni pamoja na ardhi ,anga ,mito,maziwa, visiwa na bahari kuu watu wake, mali zao haki ,uhuru na maslahi mengine ya kitaifa dhidi ya vitisho vya ndani na nje ya nchi.
Ibara ya 266 Inavitaja vyombo vya ulinzi na usalama
a.JWTZ
b.Jeshi la Polisil la Jamhuri ya MUUNGANO na
c.Usalama wa Taifa.
Msingi mzuri uliopo na unaotajwa katika Katiba Inayopendekezwa kwa kutambua nafasi ya raia katika jukumu la Ulinzi na usalama unapaswa kuungwa mkono na kila mpenda Amani na Utulivu. Mungu Ibariki Tanzania.
Nawasilisha.