The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
AsanteKaribuni
Toa ufafanuzi zaidiGreat thinkers.
Mwenyeji au anaeyelewa usalama na hatari zilizopo hapo atujuze. Bongo hii pamejaa makanjanja wengi sana.
Ili kuepuka kupigwa kwenye ununuzi wa aridhi tufumbueni macho kidogo.sisi wageni maana hata watendaji wa serikali hawaaminiki kwa sasa lao ni moja na madalali..
Karibuni
Daaaaa nina shamba huko piaa acha nika check again kama liko salamaGreat thinkers.
Mwenyeji au anaeyelewa usalama na hatari zilizopo hapo atujuze. Bongo hii pamejaa makanjanja wengi sana.
Ili kuepuka kupigwa kwenye ununuzi wa aridhi tufumbueni macho kidogo.sisi wageni maana hata watendaji wa serikali hawaaminiki kwa sasa lao ni moja na madalali..
Karibuni
Mkuu toa experience yako tu Unajua kuna maeneo ukiyataja watu lazima.wakwambie kuwa makini. Maeneo.yenye janjajanja wazoefu lazima.wakwambieToa ufafanuzi zaidi
Umenunua kiwanja Pingo ?
Umenunua kwa nani ?
Umefika ofisi ya manispaa husika ?
Umekiona kiwanja/shamba ulilonunua?
Mkataba umeandaliwa na mwanasheria?
Umelipa kwa cash/bank/mobile ?
Ulinunua lini. Liko upande gani?Daaaaa nina shamba huko piaa acha nika check again kama liko salama
Asante sanaChangamoto sio kubwa sana labda kuna baadhi yasehem masai wanadai nimaeneo yao mimi pia kuna wakati niliambiwa kuna mashamba eka laki tano sijaenda japo niko maeneo hayo kuna jamaa yangu maeneo huko kikubwa nenda siku ukaongee na wenyeji usiamini sana viongozi waserikali zamitaa wengi nimatapeli