Mkuu hongera saana...unakula maharage kilo 2 kwa mwezi.Niko single. Mwanzoni mwa mwezi huwa nachemsha kilo mbili za maharage. Yakisha poa nayaweka kwenye Friji.
Sasa huwa nachota kidogo nakaanga, nasonga ugali, siku imepita.
Kwa mtimdo huu harage hilo huwa linadumu mwezi mzima.
Je, wadau hii ni salama kwa afya?
Acha kumtisha..chakula kikiwa kwenye freezer kiko salama maana enzymatic action ya spoilage microbes inakua haipo.
Mkuu, are you serious?
Acha kumtisha..maana enzymatic action ya spoilage microbes inakua haipo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naamini huwa yanafanya yanakuwa kama jiwe! Hapo wewe endelea kutwanga harage mkuu wasikutishe!Niko single. Mwanzoni mwa mwezi huwa nachemsha kilo mbili za maharage. Yakisha poa nayaweka kwenye Friji.
Sasa huwa nachota kidogo nakaanga, nasonga ugali, siku imepita.
Kwa mtimdo huu harage hilo huwa linadumu mwezi mzima.
Je, wadau hii ni salama kwa afya?
Vipi de naturation of proteinAcha kumtisha..chakula kikiwa kwenye freezer kiko salama maana enzymatic action ya spoilage microbes inakua haipo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama haikuletei shida we endelea mkuu, huwezi chemsha maharage kila siku kama ni mpenzi wa maharageNiko single. Mwanzoni mwa mwezi huwa nachemsha kilo mbili za maharage. Yakisha poa nayaweka kwenye Friji.
Sasa huwa nachota kidogo nakaanga, nasonga ugali, siku imepita.
Kwa mtimdo huu harage hilo huwa linadumu mwezi mzima.
Je, wadau hii ni salama kwa afya?
Kwa kuwa tulio wengi tunakula ili kujaza tumbo nadhani haina shidaNiko single. Mwanzoni mwa mwezi huwa nachemsha kilo mbili za maharage. Yakisha poa nayaweka kwenye Friji.
Sasa huwa nachota kidogo nakaanga, nasonga ugali, siku imepita.
Kwa mtimdo huu harage hilo huwa linadumu mwezi mzima.
Je, wadau hii ni salama kwa afya?