Usaliti ni laana: Elia F Michael awa Mtendaji wa Kata, apigwa marufuku kugombea ubunge kupitia CCM, adhulumiwa hela za usaliti

wanaumeee fanyenii yenuu na familiaa zenuu khaa pigenikazii mkitaka njooni na nyie mvalishwe....mpewe hizoohelaa mnazotakaa
 
Inashangaza, mtu anajifanya anajua kumbe hata hafamamu tofauti ya nafasi za kuajiriwa za utumishi wa umma na nafasi za uteuzi za kisiasa.
 
Mtendaji wa kata ni nafasi atakayoifanya mpaka atakapoamua yeye mwenyewe.
Ni nafasi ya kiutumishi, kuliko yale mambo ya siasa

Uko sahihi, lakini ndoto zake mpaka kuhama ilikuwa ni kupata nafasi hiyo? Hiyo nafasi mbona angeweza kuipata hata bila kuhamia ccm kwa kujidhalilisha?
 
Hiyo ajira ya kiserikali je, imepitia mfumo upi wa ajira?
 
Awajuiii mabwegeee waupinzanii
Acha ujinga kutoka kuwa diwan hadi kata,alikua mwenyekiti wa vikao vyote vya kata akiwa diwani hata hvyo issue ni je alichozawadiwa kinafanana na mhanga wa kusaliti wananchi waliomchagua?Hv unajua mshahara wa WEO hata mwalimu wa shahada anamzidi
 
Jamaa wamemuona 'So Cheap'

Njaa hizi.

Kutoka Udiwani, Mgombea Ubunge mpaka kuwa Mtendaji Wa Kata, Mshahara Tsh 400,000 ?
Siku wakitembelea kata yake wanaenda kumtumbua,Kwisha habari. Mshahara wa mtu kigeugeu,unaunga mkono juhudi ya maangamizi ya wakosoaji?
 
Ngoja niende Moorland hotel nikafanye ushushushu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…