Usaliti ni laana: Elia F Michael awa Mtendaji wa Kata, apigwa marufuku kugombea ubunge kupitia CCM, adhulumiwa hela za usaliti

Usaliti ni laana: Elia F Michael awa Mtendaji wa Kata, apigwa marufuku kugombea ubunge kupitia CCM, adhulumiwa hela za usaliti

Si huyu tu bali wote walionunuliwa watakuwa na wakati mgumu mno ndani ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa chama na uteuzi wa wagombea kuelekea mwaka 2025.
 
Mbona Elia anataka kuacha kazi ya utendaji na kuachana na CCM Tanzania, ameshasema huko kwenye page yake ya facebook
 
Hawa Walikuwa Mbumbumbu
Ccm Ikajichotea Yaani Kwa Vocal

Haa
Malipo Ni Hapa Hapa Duniani
 
Hatari sana !
Kaka hela ni mbaya sana, unapopata hela bila haki haikufikishi mbali. Mifano ni mingi angalia hela za urithi endapo wanafamilia watakiuka, hela za machagondoa wanazopewa na wateja, hela wanazopata vibaka, hela za udalali wa dhurma nk

Hata Covid-19 ndani ya nafsi zao wanaumia mno, ila hawana namna.

My unakubali kuiza heshima nako uliyoijenda kwq gharama kubwa miaka zaidi ya 20 ati kwa 50m ??
 
View attachment 1371762

Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera

Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu!

==

Mgombea Ubunge Buyungu 2018 Diwani wa Kata ya Gwarama 2015-2019
Hiyo haikuwa rushwa?Dhambi ya usaliti haijawahi kumwacha yeyote salama,anawezaje kumdai mwenyekiti wa chama rushwa?Polepole alikopa 0 kwenye milioni 50.
Je,deni la milioni 45 lipo kimaandishi?Imekula kwako Mh.diwani!
 
Hiyo haikuwa rushwa?Dhambi ya usaliti haijawahi kumwacha yeyote salama,anawezaje kumdai mwenyekiti wa chama rushwa?Polepole alikopa 0 kwenye milioni 50.
Je,deni la milioni 45 lipo kimaandishi?Imekula kwako Mh.diwani!
Noma sana !
 
Back
Top Bottom